Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!?

MLEVI; "Nakunywa bia tano!
MCHUNGAJI; "Bia moja bei gani!?
MLEVU; "2500/
MCHUNGAJI; "Ulianza lini kunywa bia!?
MLEVI; "Miaka 18 iliyopita!

MCHUNGAJI; "Kwa hiyo kwa siku unatumia zaidi ya 10,000??
MLEVI; "Ndio!
MCHUNGAJI; "Kama u gekuwa unatunza hiyo pesa 10,000 kwa siku leo hii si ungekuwa na Range Rover!?
MLEVI; "Samahani, naweza kukuuliza swali!?
MCHUNGAJI; "Uliza!
MLEVI; "Unakunywa bia!?
MCHUNGAJI; "Hapana!
MLEVI; "Nionyeshe Range Rover yako!
MCHUNGAJI; "akasepa"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jafari (Guest) on March 2, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Vincent Mwangangi (Guest) on February 14, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Paul Kamau (Guest) on February 11, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Philip Nyaga (Guest) on January 15, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Vincent Mwangangi (Guest) on January 15, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Michael Onyango (Guest) on December 9, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mercy Atieno (Guest) on November 3, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on October 17, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Christopher Oloo (Guest) on October 14, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on October 9, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Yahya (Guest) on October 9, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Francis Njeru (Guest) on September 28, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Baraka (Guest) on August 31, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Sarah Achieng (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Zuhura (Guest) on July 24, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Sarafina (Guest) on July 14, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Rashid (Guest) on June 24, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Dorothy Nkya (Guest) on June 13, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Chris Okello (Guest) on May 26, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

George Tenga (Guest) on May 25, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Minja (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mwachumu (Guest) on May 10, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Anna Mahiga (Guest) on May 4, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Edward Lowassa (Guest) on April 14, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on April 8, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Thomas Mtaki (Guest) on April 4, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on March 18, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Salum (Guest) on March 14, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Edwin Ndambuki (Guest) on March 11, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on February 10, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on January 31, 2016

😊🀣πŸ”₯

John Mwangi (Guest) on January 7, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on January 4, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rose Mwinuka (Guest) on December 28, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on December 21, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on December 4, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Safiya (Guest) on November 26, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Husna (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mercy Atieno (Guest) on November 1, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Agnes Lowassa (Guest) on October 18, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on October 5, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Victor Mwalimu (Guest) on October 3, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on September 21, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on September 7, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on August 27, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on August 20, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on August 7, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on August 4, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on August 1, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on July 25, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on July 17, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 9, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on July 5, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mchuma (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Andrew Odhiambo (Guest) on June 16, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on April 8, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More