Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!?

MLEVI; "Nakunywa bia tano!
MCHUNGAJI; "Bia moja bei gani!?
MLEVU; "2500/
MCHUNGAJI; "Ulianza lini kunywa bia!?
MLEVI; "Miaka 18 iliyopita!

MCHUNGAJI; "Kwa hiyo kwa siku unatumia zaidi ya 10,000??
MLEVI; "Ndio!
MCHUNGAJI; "Kama u gekuwa unatunza hiyo pesa 10,000 kwa siku leo hii si ungekuwa na Range Rover!?
MLEVI; "Samahani, naweza kukuuliza swali!?
MCHUNGAJI; "Uliza!
MLEVI; "Unakunywa bia!?
MCHUNGAJI; "Hapana!
MLEVI; "Nionyeshe Range Rover yako!
MCHUNGAJI; "akasepa"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jafari (Guest) on March 2, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Vincent Mwangangi (Guest) on February 14, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Paul Kamau (Guest) on February 11, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Philip Nyaga (Guest) on January 15, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Vincent Mwangangi (Guest) on January 15, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Michael Onyango (Guest) on December 9, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mercy Atieno (Guest) on November 3, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on October 17, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Christopher Oloo (Guest) on October 14, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on October 9, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Yahya (Guest) on October 9, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Francis Njeru (Guest) on September 28, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Baraka (Guest) on August 31, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Sarah Achieng (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Zuhura (Guest) on July 24, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Sarafina (Guest) on July 14, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Rashid (Guest) on June 24, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Dorothy Nkya (Guest) on June 13, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Chris Okello (Guest) on May 26, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

George Tenga (Guest) on May 25, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Minja (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mwachumu (Guest) on May 10, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Anna Mahiga (Guest) on May 4, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Edward Lowassa (Guest) on April 14, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on April 8, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Thomas Mtaki (Guest) on April 4, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on March 18, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Salum (Guest) on March 14, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Edwin Ndambuki (Guest) on March 11, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on February 10, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on January 31, 2016

😊🀣πŸ”₯

John Mwangi (Guest) on January 7, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on January 4, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rose Mwinuka (Guest) on December 28, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on December 21, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on December 4, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Safiya (Guest) on November 26, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Husna (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mercy Atieno (Guest) on November 1, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Agnes Lowassa (Guest) on October 18, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on October 5, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Victor Mwalimu (Guest) on October 3, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on September 21, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on September 7, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on August 27, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on August 20, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on August 7, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on August 4, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on August 1, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on July 25, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on July 17, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 9, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on July 5, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mchuma (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Andrew Odhiambo (Guest) on June 16, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on April 8, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About