Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:Β Hii gari haina watu bana.
Makanga:Β Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ng’ombe?

Man:Β Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:Β Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:Β Excuse me conda…gari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:Β Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:Β Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:Β Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:Β Ruaka ni how much?
Makanga:Β Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:Β Shukisha dere.
Makanga:Β Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:Β Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:Β Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mwanaidi (Guest) on June 23, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 29, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Anna Kibwana (Guest) on May 22, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Linda Karimi (Guest) on May 16, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Robert Okello (Guest) on April 21, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Mchome (Guest) on April 14, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on April 1, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Leila (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

John Lissu (Guest) on February 15, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 30, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Joyce Aoko (Guest) on December 18, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on November 30, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 22, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on November 20, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mwinyi (Guest) on November 11, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on November 6, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on November 5, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Wilson Ombati (Guest) on October 6, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on September 23, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on September 22, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on September 19, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on June 21, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Margaret Anyango (Guest) on June 19, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Fatuma (Guest) on June 18, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mhina (Guest) on June 11, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Sumaya (Guest) on June 8, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Emily Chepngeno (Guest) on June 6, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nora Kidata (Guest) on May 22, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Stephen Amollo (Guest) on May 17, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on May 12, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 3, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on May 3, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Kevin Maina (Guest) on April 24, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Sharon Kibiru (Guest) on February 15, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Anna Malela (Guest) on February 13, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on February 8, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on January 27, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on January 20, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Grace Njuguna (Guest) on January 16, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Wangui (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Patrick Mutua (Guest) on November 3, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on October 8, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Sumaya (Guest) on October 8, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Stephen Malecela (Guest) on September 23, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 10, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Leila (Guest) on September 9, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Raphael Okoth (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Habiba (Guest) on July 9, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Mushi (Guest) on July 2, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on June 29, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kendi (Guest) on June 2, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Warda (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Margaret Anyango (Guest) on May 3, 2015

🀣πŸ”₯😊

Brian Karanja (Guest) on April 11, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

πŸ“– Explore More Articles