Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:Β Hii gari haina watu bana.
Makanga:Β Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ng’ombe?

Man:Β Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:Β Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:Β Excuse me conda…gari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:Β Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:Β Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:Β Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:Β Ruaka ni how much?
Makanga:Β Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:Β Shukisha dere.
Makanga:Β Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:Β Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:Β Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mwanaidi (Guest) on June 23, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 29, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Anna Kibwana (Guest) on May 22, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Linda Karimi (Guest) on May 16, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Robert Okello (Guest) on April 21, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Mchome (Guest) on April 14, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on April 1, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Leila (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

John Lissu (Guest) on February 15, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 30, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Joyce Aoko (Guest) on December 18, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on November 30, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 22, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on November 20, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mwinyi (Guest) on November 11, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on November 6, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on November 5, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Wilson Ombati (Guest) on October 6, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on September 23, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on September 22, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on September 19, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on June 21, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Margaret Anyango (Guest) on June 19, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Fatuma (Guest) on June 18, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mhina (Guest) on June 11, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Sumaya (Guest) on June 8, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Emily Chepngeno (Guest) on June 6, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nora Kidata (Guest) on May 22, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Stephen Amollo (Guest) on May 17, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on May 12, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 3, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on May 3, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Kevin Maina (Guest) on April 24, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Sharon Kibiru (Guest) on February 15, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Anna Malela (Guest) on February 13, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on February 8, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on January 27, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on January 20, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Grace Njuguna (Guest) on January 16, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Wangui (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Patrick Mutua (Guest) on November 3, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on October 8, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Sumaya (Guest) on October 8, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Stephen Malecela (Guest) on September 23, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 10, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Leila (Guest) on September 9, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Raphael Okoth (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Habiba (Guest) on July 9, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Mushi (Guest) on July 2, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on June 29, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kendi (Guest) on June 2, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Warda (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Margaret Anyango (Guest) on May 3, 2015

🀣πŸ”₯😊

Brian Karanja (Guest) on April 11, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About