Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tabia za Kimama kwa wanaume

Featured Image

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume kupiga picha umeng'ata Lips na Unapiga na Camera Beauty Plus huo ni UMAMA..πŸ˜‚

3, Mwanaume kuangalia tamthilia na Jamai Raja na Maigizo kwenye chanel ya sinema zetu wakati mechi za kombe la dunia zinaendelea, pia nawe ni MMAMAAβ€¦πŸ˜‚πŸ˜‚

4, Mwanaume kuandika 'Jomon' badala ya Jamani, kuandika 'Pw' badala ya Poa, kuandika 'Thatha' badala ya Sasa, kumwandikia mwanaume mwenzio 'Mambo my' Huu ni UDADA, tena UDADA wa CHUO..πŸ˜‚
.
5, Mwanaume kunywa soda au Juice na kubakisha, kununua chakula halafu unakibakisha, kubagua bagua chakula na kujamba hovyo hovyo baada ya kushiba, huo nao ni UMAMAA..πŸ˜‚
.
6, Mwanaume kumuuliza mwanaume mwenzio anapata faida gani kuangalia Mpira, pia nawe ni MMAMA…
.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jane Muthui (Guest) on July 28, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Frank Macha (Guest) on July 15, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

John Mwangi (Guest) on July 12, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Grace Mligo (Guest) on July 9, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Ruth Mtangi (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on June 18, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Francis Mtangi (Guest) on June 4, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Grace Minja (Guest) on May 21, 2017

🀣πŸ”₯😊

Irene Akoth (Guest) on May 21, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Nyota (Guest) on April 29, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

George Tenga (Guest) on April 7, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Betty Cheruiyot (Guest) on February 17, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on February 17, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Jamila (Guest) on February 10, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Simon Kiprono (Guest) on January 20, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mazrui (Guest) on January 8, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Mustafa (Guest) on December 18, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Mushi (Guest) on December 3, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Francis Mrope (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Esther Nyambura (Guest) on November 12, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

John Lissu (Guest) on November 6, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on October 27, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Wambura (Guest) on September 24, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Thomas Mtaki (Guest) on September 18, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Dorothy Nkya (Guest) on September 12, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on July 24, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Akinyi (Guest) on July 5, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Samson Tibaijuka (Guest) on May 22, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on May 20, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on May 16, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwinyi (Guest) on April 15, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Jane Muthoni (Guest) on April 6, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on February 4, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ann Awino (Guest) on January 31, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on January 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jabir (Guest) on December 28, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Maneno (Guest) on December 1, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Jamal (Guest) on November 6, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Paul Kamau (Guest) on November 5, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Anna Mahiga (Guest) on October 8, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on September 23, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Philip Nyaga (Guest) on September 20, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Moses Kipkemboi (Guest) on September 11, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Raphael Okoth (Guest) on September 2, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on July 30, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joyce Mussa (Guest) on July 18, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nuru (Guest) on July 17, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Jane Muthoni (Guest) on June 17, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on May 31, 2015

Asante Ackyshine

Mariam Hassan (Guest) on May 21, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on May 14, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ann Awino (Guest) on May 8, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on April 19, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Related Posts

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About