Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nikalipe ada nimetumia shilingi alfu 30 kubeti
BABA : Unasema nini we mpumbavu mshenzi
mkubwa? Nimekukanya mara ngapi kuhusu kubeti?
DOGO : Lakini baba
BABA : Lakini baba nini ngoja urudi utaona
ntakachofanya.
DOGO : Nilitaka kukwambia kuwa nimeshinda
shilingi milioni 3
BABA : Ndio hayo ninayosema wewe mpumbavu
sana kwanini hukutumia laki nzima kubeti? Si
ungepata pesa nyingi zaidi? Ngoja urudi niwataarifu
ndugu zako kuhusu uulivyo na akili za kuamua
haraka mwanangu mpenzi…

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Sumari (Guest) on May 28, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Joyce Aoko (Guest) on May 8, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on April 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on March 28, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on March 23, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Ndungu (Guest) on March 20, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Janet Sumari (Guest) on February 27, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Chiku (Guest) on February 27, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Ramadhan (Guest) on February 18, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

James Kimani (Guest) on February 4, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on December 18, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Janet Sumaye (Guest) on October 17, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Selemani (Guest) on October 11, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Victor Sokoine (Guest) on October 7, 2016

😊🀣πŸ”₯

Jacob Kiplangat (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Majid (Guest) on August 20, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Christopher Oloo (Guest) on July 16, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on June 19, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Shamsa (Guest) on June 13, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on May 27, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Grace Mligo (Guest) on May 24, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Faith Kariuki (Guest) on April 30, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on April 26, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on March 26, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Charles Wafula (Guest) on March 21, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 13, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Mrope (Guest) on March 12, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Charles Mrope (Guest) on March 10, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Ruth Wanjiku (Guest) on January 29, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Kidata (Guest) on January 2, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on December 8, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Mariam (Guest) on December 1, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on November 29, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Philip Nyaga (Guest) on November 18, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Samson Mahiga (Guest) on October 22, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Frank Macha (Guest) on October 14, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Henry Sokoine (Guest) on September 3, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Betty Kimaro (Guest) on August 29, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on August 27, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on August 24, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on August 4, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edward Chepkoech (Guest) on July 30, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on July 20, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on July 18, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Robert Ndunguru (Guest) on July 9, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Khadija (Guest) on June 27, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joseph Kitine (Guest) on June 17, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on May 20, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

James Malima (Guest) on May 8, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Rose Kiwanga (Guest) on April 23, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Irene Akoth (Guest) on April 21, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on April 18, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Related Posts

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

πŸ“– Explore More Articles