Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Featured Image

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe walale tu halafu ananyata mdogo mdogo mpaka chumbani kwa binamu yake.

Siku moja umeme ulikuwa umekatika ikabidi aamue kuvua nguo kabisachumbani kwake….

Akanyata taratibua akafungua mlango akazama chumbani kwa mjomba ake bila kujua, ghafla umeme ukarudi…

MJOMBA; we mshenzi umefata nini chumbani kwangu tena uko uchi

JAMAA; nimekuja kukuaga kesho naondoka

MJOMBA; ndo uje uchi?

JAMAA; ndio kwasababu nimeshapaki kila kitu kwenye begi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Patrick Kidata (Guest) on June 1, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Violet Mumo (Guest) on April 7, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

John Malisa (Guest) on April 5, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

John Kamande (Guest) on March 20, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

David Musyoka (Guest) on March 11, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Ndoto (Guest) on March 10, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Grace Njuguna (Guest) on February 28, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Rehema (Guest) on February 14, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joseph Kitine (Guest) on January 30, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 29, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Wande (Guest) on January 9, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mustafa (Guest) on December 27, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on December 25, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on November 22, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Anthony Kariuki (Guest) on October 14, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on October 13, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

David Chacha (Guest) on October 12, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zubeida (Guest) on August 28, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Peter Otieno (Guest) on August 13, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Andrew Mchome (Guest) on August 9, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Asha (Guest) on August 3, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on August 2, 2016

Asante Ackyshine

Victor Malima (Guest) on June 19, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Aziza (Guest) on June 16, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Maulid (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Wangui (Guest) on June 2, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Agnes Sumaye (Guest) on May 17, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

James Mduma (Guest) on April 29, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on April 24, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Baridi (Guest) on April 22, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Omari (Guest) on March 25, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on March 15, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on February 2, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on January 26, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 24, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on December 21, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on December 17, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Kenneth Murithi (Guest) on December 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on December 3, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on December 2, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

George Wanjala (Guest) on November 8, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on November 6, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Chris Okello (Guest) on November 1, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Michael Onyango (Guest) on October 27, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on October 26, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Stephen Mushi (Guest) on September 30, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on September 4, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Minja (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Esther Nyambura (Guest) on August 23, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Khalifa (Guest) on August 22, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Esther Nyambura (Guest) on August 12, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on June 1, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kazija (Guest) on April 20, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Mushi (Guest) on April 7, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About