Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Featured Image

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kwenye Gari amevaa suti za blue za daladala na miwani Kisha akakusanya pesa Gari Zima alafu akakaa siti ya nyuma baade Kondakta mwingine akaanza kukusanya pesa watu wakalalamika na kusema tayari tumelipa na kumuonyesha tuliemlipa Kondakta akacheka na kusema huyo tuliemlipa ni kipofu na alikuwa anaomba msaada..!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Malela (Guest) on October 13, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on September 26, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on September 14, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on August 23, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Michael Mboya (Guest) on August 10, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joseph Kawawa (Guest) on August 7, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Rubea (Guest) on July 10, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Warda (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Kamau (Guest) on April 27, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Robert Ndunguru (Guest) on April 19, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on April 17, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanahawa (Guest) on April 15, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwanajuma (Guest) on March 19, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 11, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nchi (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Janet Sumaye (Guest) on February 21, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on February 16, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on January 21, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

George Ndungu (Guest) on January 16, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Yusra (Guest) on December 27, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Alice Jebet (Guest) on December 2, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on November 1, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Margaret Anyango (Guest) on October 25, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on August 30, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Ndomba (Guest) on August 22, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Francis Njeru (Guest) on August 22, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rose Waithera (Guest) on August 15, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Rose Waithera (Guest) on July 16, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on July 5, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rukia (Guest) on June 22, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

James Mduma (Guest) on June 19, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Janet Sumari (Guest) on June 11, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on June 8, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on April 12, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on April 7, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mary Kendi (Guest) on April 6, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Betty Cheruiyot (Guest) on March 10, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Wilson Ombati (Guest) on February 21, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Francis Mtangi (Guest) on February 17, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on January 26, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on December 19, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on December 17, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on November 18, 2015

Asante Ackyshine

Samson Mahiga (Guest) on October 21, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on October 16, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Farida (Guest) on September 23, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Mahiga (Guest) on August 2, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on July 30, 2015

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Rose Amukowa (Guest) on July 24, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Kawawa (Guest) on May 29, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on May 17, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on May 17, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on April 27, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on April 5, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Peter Mbise (Guest) on April 2, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
πŸ“– Explore More Articles