Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mjini shule. Soma hii

Featured Image

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!

Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsApp…!

_Hello Mamu, Nakupigia simu sio kukudai pesa zangu, ila nataka kukwambia kuwa hapa Ubungo Plaza kuna wadada wawili walikuwa wanapigana kumgombea Mumeo (Baba Nang'oto). Ilikuwa vuta nikuvute na mumeo alikuwa kasimama tu anawaangalia akitabasamu. Baada ugomvi kwisha akaondoka na mmoja wao na kumwacha yule mwingine akitukana matusi kama ana akili nzuri._

β€”
_*Kisha nikaituma ile message*_

Baada ya dakika kama mbili hivi, akanipigia simu nami wala sikupokea simu yake… Akapiga tena na tena kama mara ishirini hivi wala sikupokea.

*Akatuma message akiniuliza…*

_Hao wanawake unawajuwa, …mume wangu na huyo mwanamke wameelekea wapi, wewe unawajuwa hao wanawake waliopigana, yaani hapa nimechanganyikiwa kwa kweli…!_

Nikaisoma message yake wala sikuijibu, nikamchunia kimyaaa…!

Akanipigia tena simu mara tano, sikupokea simu zake, kimyaaa…! Akaniandikia message nyingine….

*…Nakupigia jamani pokea simu basi nina pesa zako nataka nikupe… Naomba basi tukutane mjini unihadithie vizuri…!*

Nami nikamjibu…

_Nitumie hizo pesa kwenye Namba yangu ya Mpesa, ili nipitie sheli kujaza mafuta nije mjini kukupitia nikupeleke mahala walipo…!_

Baada ya dakika 2 message ikaingia, kuangalia balance yangu ya Mpesa, nikakuta kaingiza pesa zangu zote ninazo mdai…!

Nikazima simu nikajilalia zangu kimyaaa…. Kama sio mie!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kahina (Guest) on July 12, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Mgeni (Guest) on July 8, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Josephine Nduta (Guest) on June 30, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on April 27, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Simon Kiprono (Guest) on March 7, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on February 10, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Patrick Kidata (Guest) on February 3, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mazrui (Guest) on January 26, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Jacob Kiplangat (Guest) on January 26, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 20, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Kawawa (Guest) on January 9, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on December 23, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Irene Makena (Guest) on December 21, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

George Wanjala (Guest) on November 14, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

David Chacha (Guest) on November 3, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on September 3, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on August 13, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Faith Kariuki (Guest) on August 12, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on August 7, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on July 31, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Amani (Guest) on July 14, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Mbise (Guest) on July 13, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Khalifa (Guest) on June 26, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 17, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Benjamin Masanja (Guest) on June 8, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Peter Mwambui (Guest) on May 31, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nassor (Guest) on May 25, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Charles Mrope (Guest) on May 24, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on May 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on May 12, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on April 6, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Monica Lissu (Guest) on April 5, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Vincent Mwangangi (Guest) on March 29, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 19, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on March 5, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Joseph Njoroge (Guest) on February 8, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on December 28, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Irene Akoth (Guest) on December 24, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on December 18, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on December 12, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on November 27, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Zulekha (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Odhiambo (Guest) on October 26, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on October 10, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 20, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Wafula (Guest) on September 10, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Violet Mumo (Guest) on August 14, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on August 5, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwalimu (Guest) on August 2, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Susan Wangari (Guest) on July 17, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Asha (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lucy Mahiga (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

James Malima (Guest) on May 12, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Paul Kamau (Guest) on April 1, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Related Posts

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More