Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mke ni shida!

Featured Image

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumbani kwangu, mara hoo watoto wangu. Sisi ni mke na mume, kila kitu ni chetu. Jirekebishe bwana".πŸ‘΄πŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜’
MKE: Yuko kimya anaendelea na shughuli zake za kupekua kabatini kama hasikii, na hakumjibu kitu mumewe.πŸ‘΅πŸ˜·
MUME: Akamuuliza kwa hamaki,"Sasa hapo unatafuta nini?".πŸ‘΄πŸ˜‘
MKE: "Sidiria yetu!!"πŸ‘™πŸ’
MUME: (kamfungia kabatini alafu kamwambia. "nipo chumbani , ")πŸ‘΄πŸ˜·πŸ˜·
πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jane Malecela (Guest) on May 5, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mwanahawa (Guest) on April 25, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Monica Nyalandu (Guest) on April 3, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on March 27, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

John Lissu (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on February 9, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Samuel Omondi (Guest) on January 14, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on December 17, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Nashon (Guest) on December 3, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rubea (Guest) on November 12, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Hashim (Guest) on October 15, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Abubakar (Guest) on October 7, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Lydia Mutheu (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Tambwe (Guest) on October 4, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Leila (Guest) on September 14, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on September 5, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on August 16, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Minja (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on August 15, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Charles Mrope (Guest) on August 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on July 27, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on July 2, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Tabu (Guest) on June 10, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Jane Muthui (Guest) on May 16, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

George Wanjala (Guest) on May 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on May 1, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Catherine Mkumbo (Guest) on April 30, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on April 10, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on April 6, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Ali (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Ruth Mtangi (Guest) on April 2, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Monica Nyalandu (Guest) on March 8, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

John Lissu (Guest) on January 24, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on December 28, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

George Wanjala (Guest) on December 19, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Elijah Mutua (Guest) on December 14, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Joy Wacera (Guest) on November 24, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on November 24, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

David Chacha (Guest) on November 4, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Benjamin Kibicho (Guest) on October 12, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Elizabeth Mrope (Guest) on October 4, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Moses Mwita (Guest) on September 28, 2015

😊🀣πŸ”₯

Rose Kiwanga (Guest) on September 21, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on September 10, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on August 28, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on August 12, 2015

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Hashim (Guest) on August 11, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Linda Karimi (Guest) on August 9, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 14, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Mugendi (Guest) on July 12, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Robert Ndunguru (Guest) on July 10, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Rose Mwinuka (Guest) on July 4, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on July 1, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Lucy Mahiga (Guest) on April 26, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Sultan (Guest) on April 21, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mariam Hassan (Guest) on April 10, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Related Posts

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About