Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Featured Image

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA: eeeh unaniambia hivo mimi?
JAMAA: nakuomba sana forget me.
MSICHANA: aya bwana poa maisha mema.

Msichana anakata simu jamaa ndo ananiuliza."sasa
sijui amekasirikia lipi?" Mi nikamwambia we zuzu
umemwambia AKUSAHAU, dah, kumbe
ningemwambiaje? hahaha, ungemwambia
ForgivE me! au Ungesema Tu NaombA nSameHe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mchawi (Guest) on July 10, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Ann Wambui (Guest) on July 5, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on June 24, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Fredrick Mutiso (Guest) on June 23, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Victor Sokoine (Guest) on April 30, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on April 22, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam (Guest) on April 12, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on April 8, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Andrew Odhiambo (Guest) on April 4, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on March 21, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on March 6, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Andrew Mchome (Guest) on February 28, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

George Mallya (Guest) on February 25, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on February 15, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Shukuru (Guest) on February 11, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

David Nyerere (Guest) on February 2, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Betty Kimaro (Guest) on December 21, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on December 16, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on November 21, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Zakaria (Guest) on November 14, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

James Kimani (Guest) on November 9, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on November 2, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Irene Makena (Guest) on October 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Zainab (Guest) on October 9, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mariam Kawawa (Guest) on September 5, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on August 24, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on August 23, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on August 11, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Neema (Guest) on August 9, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Benjamin Masanja (Guest) on July 13, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on July 12, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on June 11, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Yusra (Guest) on May 29, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lucy Mahiga (Guest) on March 24, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on March 13, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Halimah (Guest) on March 8, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Ann Awino (Guest) on March 7, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on February 14, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on February 9, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samuel Were (Guest) on December 18, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on October 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Diana Mumbua (Guest) on September 8, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Ann Wambui (Guest) on August 18, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on July 16, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Bahati (Guest) on July 2, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Lissu (Guest) on June 29, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on June 28, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on May 29, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Betty Akinyi (Guest) on May 20, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Baridi (Guest) on May 6, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

David Kawawa (Guest) on May 1, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anthony Kariuki (Guest) on April 3, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Rose Kiwanga (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More