Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nancy Kabura (Guest) on January 21, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on January 13, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on January 4, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Francis Mtangi (Guest) on January 4, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Fredrick Mutiso (Guest) on December 28, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on December 18, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on December 9, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mary Kidata (Guest) on December 9, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on October 26, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Baridi (Guest) on October 9, 2017

Asante Ackyshine

Zulekha (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Njoroge (Guest) on July 26, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 15, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on July 2, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

James Malima (Guest) on June 29, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on June 23, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on June 17, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mjaka (Guest) on June 6, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Stephen Kangethe (Guest) on May 31, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on May 24, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Grace Majaliwa (Guest) on May 23, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mariam (Guest) on April 7, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Margaret Mahiga (Guest) on March 18, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Joseph Kawawa (Guest) on March 14, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Edwin Ndambuki (Guest) on March 4, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Michael Onyango (Guest) on February 15, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on February 10, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Esther Nyambura (Guest) on January 16, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on January 12, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Diana Mumbua (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on October 28, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Hawa (Guest) on October 7, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Paul Kamau (Guest) on September 28, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Zakia (Guest) on September 28, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Dorothy Nkya (Guest) on September 25, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

George Tenga (Guest) on September 11, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Jane Muthoni (Guest) on September 6, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on August 23, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on August 17, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Alice Wanjiru (Guest) on July 31, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on July 31, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ali (Guest) on July 19, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 12, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on June 21, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on June 20, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Kevin Maina (Guest) on June 2, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on June 2, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on April 9, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on April 9, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on March 13, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Njuguna (Guest) on March 5, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Aoko (Guest) on February 19, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on January 18, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on January 7, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Anna Kibwana (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Khatib (Guest) on January 2, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Masika (Guest) on January 2, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Henry Mollel (Guest) on December 11, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on December 9, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on October 29, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

πŸ“– Explore More Articles