Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Stori za simu za wavulana na wasichana

Featured Image

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary..Pouwaa za siku jamani
Lily…Nzuri rafiki Yangu wa damu
Mary…Jioni nakuja kwako tule Na
kunywa japo wine wanguu
Lily…Nakusubiri kwa hamuu
mpenziiii

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

Lily…Huyu mchawi wa kike Leo
anataka kuja kwangu wala hanikuti.
Mary..Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu
kahaba eti nakusubir Kwa hamuu
nani aende!!!

STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMU

John…Niaje we mbwaa
Sam…Pouwa kichaa wanguu
John..Upo wap mpumbavu wewe
Sam…Niko hom, we fala Uko wap?
John..Baadae nakuibukia jambaz
langu tukale bata
Sawa… Pouwaa we ms**nge
nakusubiri

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

John…Dah baadae nikakae na
mwanangu Sam sijamuona long
time
Sam…John bwana akiwa Na pesa
lazima anitafute mwanaeee.

FUNZO..

Baadhi ya Wasichana
hujifanya wanapendana Kwa
maneno lkn ni Kwa nje tu!! lkn
WANACHUKIANA
WAVULANA unaweza Kudhani
hawapendani Kwa Maneno lkn
WANAPENDANA..

Mpe TANO mchizi wako kudumisha upendo wetu wavulana…
High πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘Š boys

hiyo apo

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Majid (Guest) on November 20, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Stephen Kikwete (Guest) on October 21, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Mallya (Guest) on September 29, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Lydia Mahiga (Guest) on September 24, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on September 24, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Halimah (Guest) on September 22, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 15, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Zulekha (Guest) on August 5, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Majid (Guest) on August 5, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Ali (Guest) on August 2, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

David Ochieng (Guest) on July 9, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Michael Mboya (Guest) on July 7, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Hashim (Guest) on June 3, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Neema (Guest) on May 21, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Irene Akoth (Guest) on May 21, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Ali (Guest) on May 6, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Wilson Ombati (Guest) on May 4, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on April 27, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on April 14, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joyce Nkya (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Rose Amukowa (Guest) on March 10, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Kevin Maina (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Nancy Akumu (Guest) on February 24, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on February 21, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joy Wacera (Guest) on February 14, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on January 20, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 15, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on January 10, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on December 16, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on December 5, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on September 15, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Christopher Oloo (Guest) on August 13, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 24, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Janet Sumari (Guest) on July 9, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Nasra (Guest) on July 4, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on July 1, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on June 3, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

David Musyoka (Guest) on June 1, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Christopher Oloo (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on May 23, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on April 30, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ali (Guest) on April 6, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Nancy Kabura (Guest) on March 22, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on February 14, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on February 5, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Samuel Were (Guest) on February 3, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on January 3, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Alice Jebet (Guest) on January 2, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nassar (Guest) on December 14, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Monica Lissu (Guest) on November 29, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Jafari (Guest) on November 12, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mchawi (Guest) on November 12, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Janet Sumari (Guest) on November 9, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Josephine Nekesa (Guest) on October 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on October 3, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Martin Otieno (Guest) on September 22, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Elizabeth Mtei (Guest) on September 14, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Lydia Wanyama (Guest) on September 7, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on July 23, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Related Posts

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About