Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Samson Tibaijuka (Guest) on October 11, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! 😊👏

Isaac Kiptoo (Guest) on August 15, 2019

😅😂😄

Francis Njeru (Guest) on July 29, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! 😄

Zakaria (Guest) on July 18, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sana—imebamba! 🤣

Ruth Wanjiku (Guest) on July 9, 2019

Nimeipenda hii joke! 😄😂

Charles Wafula (Guest) on July 9, 2019

Hii imenikuna sana! 😆😅

Michael Mboya (Guest) on July 5, 2019

😂🤣😊😅

Peter Mwambui (Guest) on April 10, 2019

😂😅

Stephen Mushi (Guest) on April 1, 2019

Hii imenifurahisha sana! 😂😂

Kenneth Murithi (Guest) on March 23, 2019

Hii ni ya kufurahisha! 😄😅

Bernard Oduor (Guest) on March 21, 2019

Hii imenibamba sana! 😅🤣

Peter Otieno (Guest) on February 28, 2019

😆 Siwezi kuacha kucheka!

Faith Kariuki (Guest) on February 19, 2019

😂 Kali sana!

Sarah Achieng (Guest) on February 18, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 😂🤣

Esther Nyambura (Guest) on February 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 🤣😆

George Tenga (Guest) on January 8, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! 👏🤣

Khadija (Guest) on December 30, 2018

😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!

Michael Mboya (Guest) on December 23, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! ☕😆

Nancy Akumu (Guest) on December 5, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😆😂

Wande (Guest) on November 27, 2018

🤣 Kichekesho bora kabisa!

Ali (Guest) on November 16, 2018

😆 Ninakufa hapa!

Josephine Nekesa (Guest) on November 16, 2018

🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Joy Wacera (Guest) on November 11, 2018

😂 Lazima nihifadhi hii!

Esther Cheruiyot (Guest) on November 1, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄

Victor Kimario (Guest) on October 25, 2018

😊😂😅👏

Maulid (Guest) on October 14, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🤣

Hekima (Guest) on September 23, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Alice Jebet (Guest) on September 12, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nora Lowassa (Guest) on September 9, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! 😂👏

John Lissu (Guest) on August 28, 2018

😂🤣😆😅

Joseph Njoroge (Guest) on August 19, 2018

😊🤣🔥

Mariam Kawawa (Guest) on August 4, 2018

😆 Bado nacheka!

Mary Kidata (Guest) on July 6, 2018

😄 Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Halimah (Guest) on June 2, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Chris Okello (Guest) on June 1, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏🤣

George Wanjala (Guest) on May 31, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! 😂👏

George Ndungu (Guest) on May 6, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! 🤣😆

Vincent Mwangangi (Guest) on May 5, 2018

Hii ni bomba sana! 🤣👍

Lucy Mushi (Guest) on May 2, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! 🏆

Muslima (Guest) on April 27, 2018

😂 Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Elizabeth Malima (Guest) on April 26, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏😆

Josephine Nduta (Guest) on April 20, 2018

🤣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Janet Wambura (Guest) on April 20, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! 😆😂

Sarafina (Guest) on March 13, 2018

😄 Dhahabu ya vichekesho!

Violet Mumo (Guest) on March 12, 2018

😅😂👌😊

Agnes Njeri (Guest) on February 28, 2018

Sikutarajia hiyo punchline—kichekesho! 🤣

Josephine Nduta (Guest) on February 24, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🤣

Edward Chepkoech (Guest) on February 8, 2018

😂🤣😆👏

Moses Mwita (Guest) on January 31, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🤣🤣

Agnes Sumaye (Guest) on January 12, 2018

Nimecheka hadi machozi 🤣😭

Samuel Omondi (Guest) on January 2, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! 😂👏

Moses Kipkemboi (Guest) on January 1, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! 😄😅

David Musyoka (Guest) on January 1, 2018

😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!

Jane Muthui (Guest) on December 22, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! 😂

Diana Mumbua (Guest) on December 12, 2017

🤣 Ninaituma sasa hivi!

Mariam (Guest) on December 9, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 30, 2017

Umesema kweli! 👌😂

Peter Otieno (Guest) on November 12, 2017

🤣🤣😄😆

Janet Mbithe (Guest) on October 17, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣

Violet Mumo (Guest) on August 24, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😊😅

Related Posts

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

😂😂 kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*👉Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More