Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Samson Tibaijuka (Guest) on October 11, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! 😊👏

Isaac Kiptoo (Guest) on August 15, 2019

😅😂😄

Francis Njeru (Guest) on July 29, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! 😄

Zakaria (Guest) on July 18, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sana—imebamba! 🤣

Ruth Wanjiku (Guest) on July 9, 2019

Nimeipenda hii joke! 😄😂

Charles Wafula (Guest) on July 9, 2019

Hii imenikuna sana! 😆😅

Michael Mboya (Guest) on July 5, 2019

😂🤣😊😅

Peter Mwambui (Guest) on April 10, 2019

😂😅

Stephen Mushi (Guest) on April 1, 2019

Hii imenifurahisha sana! 😂😂

Kenneth Murithi (Guest) on March 23, 2019

Hii ni ya kufurahisha! 😄😅

Bernard Oduor (Guest) on March 21, 2019

Hii imenibamba sana! 😅🤣

Peter Otieno (Guest) on February 28, 2019

😆 Siwezi kuacha kucheka!

Faith Kariuki (Guest) on February 19, 2019

😂 Kali sana!

Sarah Achieng (Guest) on February 18, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 😂🤣

Esther Nyambura (Guest) on February 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 🤣😆

George Tenga (Guest) on January 8, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! 👏🤣

Khadija (Guest) on December 30, 2018

😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!

Michael Mboya (Guest) on December 23, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! ☕😆

Nancy Akumu (Guest) on December 5, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😆😂

Wande (Guest) on November 27, 2018

🤣 Kichekesho bora kabisa!

Ali (Guest) on November 16, 2018

😆 Ninakufa hapa!

Josephine Nekesa (Guest) on November 16, 2018

🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Joy Wacera (Guest) on November 11, 2018

😂 Lazima nihifadhi hii!

Esther Cheruiyot (Guest) on November 1, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄

Victor Kimario (Guest) on October 25, 2018

😊😂😅👏

Maulid (Guest) on October 14, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🤣

Hekima (Guest) on September 23, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Alice Jebet (Guest) on September 12, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nora Lowassa (Guest) on September 9, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! 😂👏

John Lissu (Guest) on August 28, 2018

😂🤣😆😅

Joseph Njoroge (Guest) on August 19, 2018

😊🤣🔥

Mariam Kawawa (Guest) on August 4, 2018

😆 Bado nacheka!

Mary Kidata (Guest) on July 6, 2018

😄 Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Halimah (Guest) on June 2, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Chris Okello (Guest) on June 1, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏🤣

George Wanjala (Guest) on May 31, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! 😂👏

George Ndungu (Guest) on May 6, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! 🤣😆

Vincent Mwangangi (Guest) on May 5, 2018

Hii ni bomba sana! 🤣👍

Lucy Mushi (Guest) on May 2, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! 🏆

Muslima (Guest) on April 27, 2018

😂 Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Elizabeth Malima (Guest) on April 26, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏😆

Josephine Nduta (Guest) on April 20, 2018

🤣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Janet Wambura (Guest) on April 20, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! 😆😂

Sarafina (Guest) on March 13, 2018

😄 Dhahabu ya vichekesho!

Violet Mumo (Guest) on March 12, 2018

😅😂👌😊

Agnes Njeri (Guest) on February 28, 2018

Sikutarajia hiyo punchline—kichekesho! 🤣

Josephine Nduta (Guest) on February 24, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🤣

Edward Chepkoech (Guest) on February 8, 2018

😂🤣😆👏

Moses Mwita (Guest) on January 31, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🤣🤣

Agnes Sumaye (Guest) on January 12, 2018

Nimecheka hadi machozi 🤣😭

Samuel Omondi (Guest) on January 2, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! 😂👏

Moses Kipkemboi (Guest) on January 1, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! 😄😅

David Musyoka (Guest) on January 1, 2018

😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!

Jane Muthui (Guest) on December 22, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! 😂

Diana Mumbua (Guest) on December 12, 2017

🤣 Ninaituma sasa hivi!

Mariam (Guest) on December 9, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 30, 2017

Umesema kweli! 👌😂

Peter Otieno (Guest) on November 12, 2017

🤣🤣😄😆

Janet Mbithe (Guest) on October 17, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣

Violet Mumo (Guest) on August 24, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😊😅

Related Posts

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More