Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Featured Image

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza koo… Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu yake. chupa ya pili 🍺🍺 kimsingi ndipo mazungumzo ya awali na wanywaji jirani huanza na haya huwa mazungumzo ya busara, yakihusu muelekeo wa ligi mbalimbali, siasa, idadi za ajali na kadhalika na wakati huu hata takwimu hutolewa zilizo sahihi…. Mtu anaweza kukutajia wachezaji wote wa ligi daraja la tatu la huko Ujerumani bila kukosea, hata idadi ya wachezaji wa Yanga bila kukosea.. Ila wakati huu kama unaanzisha mashindano ya kucheua ni wakati mzuri kwani bia ya pili huongeza hisia za kucheua. Bia ya tatu 🍺🍺🍺 huanza kumfanya mnywaji aanze kusikia furaha na pia huu huwa wakati ambapo karanga na korosho huliwa sana…. Pamoja na mazungumzo kuhusu mpira na siasa, ghafla mazungumzo kuhusu michepuko huanza kujitokeza….. Bia ya nne 🍺🍺🍺🍺 huanza kusababisha masikio yaanze kupoteza nguvu za kusikia kwani utaona mnywaji ghafla amepandisha sauti, na ukijumlisha na kuwa baa zetu huwa na muziki una kelele utadhani waliopo wote wana matatizo ya kusikia….. bia hii humsaidia kuongea kwa nguvu kushindana na kelele za muziki. Bia ya tano 🍺🍺🍺🍺🍺 ni hatari kidogo kwani ukiinuka kwenda chooni mara nyingi unarudi hujafunga zipu……na kipindi hiki ni kibaya kwa wanywaji wa kike maana unaweza kumkuta akienda chooni akijiangalia kwenye kioo anaanza kulia peke yake na kulalamika; β€˜Mi sipendwi mpaka leo sijaolewa’ au β€˜ Mume wangu sijui yukoje hanijali’ Japokuwa lazima isemwe ukweli ukifikisha bia hii, maisha ni raha sana unaweza ukaanzisha shoo ya kukata mauno katikati ya baa na kudai wewe ni mkali kuliko Shilole. Kuanzia bia ya sita 🍺🍺🍺🍺🍺🍺 na kuendelea, chochote utakachosema au kufanya ni wazi kesho yake asubuhi utajilaumu sana. ……. …Kuna watu husema ukilewa ndipo unakuwa mkweli, hivyo basi wakati huu hata bosi wako akitokeza unamueleza ukweli jinsi alivyo fala na hajui kuendesha kampuni. Au unasema ukweli jinsi unavyompenda mke wa jirani yako ambaye mmekaa mnakunywa naye. Kimsingi uwezekano wa kutapika pia upo karibu na kama umekaa na mchumba wako huu ni muda ambao pia uchumba unaweza kuvunjika…….
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rahim (Guest) on December 6, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Sarah Achieng (Guest) on October 30, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

George Tenga (Guest) on October 18, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

George Tenga (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on September 19, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on September 16, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Agnes Njeri (Guest) on September 15, 2019

😊🀣πŸ”₯

David Sokoine (Guest) on September 5, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on August 28, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Anna Kibwana (Guest) on August 19, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

James Mduma (Guest) on June 13, 2019

🀣πŸ”₯😊

Francis Njeru (Guest) on May 28, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Juma (Guest) on May 16, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 4, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on April 25, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on April 20, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on March 28, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on March 24, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Raphael Okoth (Guest) on March 12, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on March 5, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Sharon Kibiru (Guest) on January 18, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Amukowa (Guest) on January 10, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Diana Mumbua (Guest) on January 7, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

James Mduma (Guest) on January 4, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Mahiga (Guest) on December 20, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on December 16, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Agnes Sumaye (Guest) on December 12, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Charles Mboje (Guest) on November 18, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Isaac Kiptoo (Guest) on November 13, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on August 10, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on August 7, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

James Malima (Guest) on July 31, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on July 30, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Brian Karanja (Guest) on July 29, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on July 19, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on July 16, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on July 14, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on July 6, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Kenneth Murithi (Guest) on June 9, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on May 16, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Rahma (Guest) on May 11, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on April 24, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Catherine Naliaka (Guest) on April 18, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Shabani (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

George Ndungu (Guest) on March 28, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on March 21, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 24, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on February 8, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on January 1, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on November 19, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jamal (Guest) on October 28, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Anna Sumari (Guest) on October 7, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Peter Mbise (Guest) on September 12, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Saidi (Guest) on September 6, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Faiza (Guest) on August 17, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on August 16, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on August 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on July 15, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mashaka (Guest) on July 10, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Shabani (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More