Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa. Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao. Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana. Wakaingia msituni kila mtu njia yake. … Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa. Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini… alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa. Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, β€œVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?” Mkenya akamjibu: β€œMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!”
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Wambura (Guest) on November 27, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on November 9, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Grace Mushi (Guest) on September 14, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Anna Mahiga (Guest) on September 12, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Kazija (Guest) on September 2, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Akinyi (Guest) on September 1, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Sarafina (Guest) on August 16, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Joseph Kawawa (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Betty Kimaro (Guest) on July 30, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Betty Cheruiyot (Guest) on July 15, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on June 17, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on March 4, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Peter Otieno (Guest) on March 3, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on February 15, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on February 10, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on January 24, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Daniel Obura (Guest) on January 17, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Edwin Ndambuki (Guest) on December 4, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Kevin Maina (Guest) on December 3, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on November 11, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Susan Wangari (Guest) on October 21, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on October 13, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Ochieng (Guest) on October 12, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Tabu (Guest) on September 29, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on September 17, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Peter Mbise (Guest) on August 22, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on August 12, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on August 10, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

David Chacha (Guest) on August 5, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on August 4, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mazrui (Guest) on July 31, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Grace Wairimu (Guest) on July 23, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on July 22, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on July 5, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Agnes Sumaye (Guest) on May 24, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on May 17, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Victor Sokoine (Guest) on April 18, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on March 24, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on March 24, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on March 20, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Omari (Guest) on February 7, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Yahya (Guest) on February 4, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Rahma (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Jane Muthui (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

David Chacha (Guest) on January 6, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Chacha (Guest) on January 2, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwanais (Guest) on December 27, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nuru (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lucy Mahiga (Guest) on December 17, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Masika (Guest) on November 25, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Kitine (Guest) on October 23, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on September 15, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Mussa (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alice Jebet (Guest) on August 3, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on July 22, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on May 26, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nancy Kawawa (Guest) on April 4, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on March 28, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Kiwanga (Guest) on March 27, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Sokoine (Guest) on February 26, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
πŸ“– Explore More Articles