Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Featured Image

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti kwa njia ya simu juu ya walichokikuta
ASKARI: Mkuu tumekuta mama mwenye nyumba kampiga mumewe chuma cha kichwa na kumuumiza vibaya sanaa

AFANDE: Kha! kisa mkasa mpk akafanya hivyo
ASKARI: Mama mwenye nyumba alikua anapiga deki mumewe akaingia ndani viatu kabla sakafu haijakauka
AFANDE: Sasa mmesha mkamata huyo mwanamke
ASKARI: Bado mkuu
AFANDE: Kha! sasa mnangoja nini
ASKARI: Si tunangoja sakafu ikauke

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Tabitha Okumu (Guest) on February 4, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Warda (Guest) on January 21, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Lucy Mushi (Guest) on January 17, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on December 19, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Sarah Karani (Guest) on November 6, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hashim (Guest) on November 1, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Andrew Mahiga (Guest) on October 25, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on September 29, 2019

🀣πŸ”₯😊

Stephen Kangethe (Guest) on September 26, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on September 14, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on July 26, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on July 16, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Samuel Omondi (Guest) on July 8, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Charles Mchome (Guest) on June 26, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on June 18, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Shani (Guest) on May 13, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mwanakhamis (Guest) on May 7, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Rashid (Guest) on April 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nancy Kawawa (Guest) on April 9, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Abubakar (Guest) on March 29, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mariam Kawawa (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mwagonda (Guest) on March 1, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on February 14, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

George Tenga (Guest) on January 28, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Betty Kimaro (Guest) on January 5, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on December 31, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Abdullah (Guest) on December 11, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Athumani (Guest) on December 5, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Azima (Guest) on November 22, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Victor Malima (Guest) on October 11, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Richard Mulwa (Guest) on October 6, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Kenneth Murithi (Guest) on September 17, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Tabitha Okumu (Guest) on September 11, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Anna Sumari (Guest) on September 5, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Betty Kimaro (Guest) on August 28, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Aziza (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Betty Kimaro (Guest) on August 3, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on July 26, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on July 17, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on July 4, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Monica Nyalandu (Guest) on July 1, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Salum (Guest) on June 24, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Stephen Kangethe (Guest) on May 30, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on May 5, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Bakari (Guest) on May 3, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Rose Lowassa (Guest) on May 2, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on April 26, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on April 10, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

James Malima (Guest) on March 26, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on March 23, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Violet Mumo (Guest) on March 14, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Makame (Guest) on March 9, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Zawadi (Guest) on February 28, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Linda Karimi (Guest) on February 16, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Mushi (Guest) on January 29, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Alex Nakitare (Guest) on January 23, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Jane Muthoni (Guest) on January 7, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on November 29, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Asha (Guest) on September 22, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Kevin Maina (Guest) on September 21, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Related Posts

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More