Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Featured Image

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.

Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali?
Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai.
Masai: kwanini Ng'ombe ngali?
Dereva: kwa sababu ni mkubwa zaidi ya mbuzi
Masai: umepata..na mbusi na kuku ipi ngali
Dereva: ni mbuzi kwa sababu nae ni mkubwa kuliko kuku.
Masai: Umepata..
Masai: sasa me nimekwenda kule mwenge kwa ngali kubwa nikalitoa sh. 500 hii yko ndogo unasema nikupe 40,000 wewe acha wizi.. Nitakupa 250 Tu..wee acha lbia morani…!!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sarah Karani (Guest) on April 27, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on April 13, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Kijakazi (Guest) on April 9, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Elijah Mutua (Guest) on March 31, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on March 26, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Paul Ndomba (Guest) on March 23, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on March 12, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on March 4, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

James Kawawa (Guest) on January 14, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on January 11, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on December 19, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on December 15, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Alex Nyamweya (Guest) on November 23, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Husna (Guest) on November 17, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

John Lissu (Guest) on November 4, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on October 21, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Sofia (Guest) on October 1, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Sarah Achieng (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on September 11, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on August 25, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Rashid (Guest) on August 15, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on August 10, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 8, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Maimuna (Guest) on June 18, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Sumaye (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Daniel Obura (Guest) on April 24, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Joseph Kitine (Guest) on April 19, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Edwin Ndambuki (Guest) on April 1, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Mwikali (Guest) on March 5, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alex Nyamweya (Guest) on March 2, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on January 27, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on January 21, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on December 30, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Mchome (Guest) on December 10, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Janet Sumaye (Guest) on November 15, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on November 8, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 7, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumari (Guest) on September 25, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Kevin Maina (Guest) on September 25, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ann Wambui (Guest) on September 2, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Njuguna (Guest) on August 20, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Selemani (Guest) on August 4, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Stephen Kangethe (Guest) on July 25, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Frank Macha (Guest) on July 13, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on June 20, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kassim (Guest) on June 19, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Yusra (Guest) on May 21, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on May 9, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lucy Mushi (Guest) on April 15, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Mduma (Guest) on March 7, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Patrick Akech (Guest) on March 6, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Raha (Guest) on March 5, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Elizabeth Mrema (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Tabitha Okumu (Guest) on January 5, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Betty Akinyi (Guest) on December 13, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Victor Malima (Guest) on November 25, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Rose Waithera (Guest) on October 27, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Victor Mwalimu (Guest) on October 18, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Chum (Guest) on October 17, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Fredrick Mutiso (Guest) on October 1, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About