Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Featured Image

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.

Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali?
Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai.
Masai: kwanini Ng'ombe ngali?
Dereva: kwa sababu ni mkubwa zaidi ya mbuzi
Masai: umepata..na mbusi na kuku ipi ngali
Dereva: ni mbuzi kwa sababu nae ni mkubwa kuliko kuku.
Masai: Umepata..
Masai: sasa me nimekwenda kule mwenge kwa ngali kubwa nikalitoa sh. 500 hii yko ndogo unasema nikupe 40,000 wewe acha wizi.. Nitakupa 250 Tu..wee acha lbia morani…!!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sarah Karani (Guest) on April 27, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on April 13, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Kijakazi (Guest) on April 9, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Elijah Mutua (Guest) on March 31, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on March 26, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Paul Ndomba (Guest) on March 23, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on March 12, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on March 4, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

James Kawawa (Guest) on January 14, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on January 11, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on December 19, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on December 15, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Alex Nyamweya (Guest) on November 23, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Husna (Guest) on November 17, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

John Lissu (Guest) on November 4, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on October 21, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Sofia (Guest) on October 1, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Sarah Achieng (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on September 11, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on August 25, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Rashid (Guest) on August 15, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on August 10, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 8, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Maimuna (Guest) on June 18, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Sumaye (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Daniel Obura (Guest) on April 24, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Joseph Kitine (Guest) on April 19, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Edwin Ndambuki (Guest) on April 1, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Mwikali (Guest) on March 5, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alex Nyamweya (Guest) on March 2, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on January 27, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on January 21, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on December 30, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Mchome (Guest) on December 10, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Janet Sumaye (Guest) on November 15, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on November 8, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 7, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumari (Guest) on September 25, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Kevin Maina (Guest) on September 25, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ann Wambui (Guest) on September 2, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Njuguna (Guest) on August 20, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Selemani (Guest) on August 4, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Stephen Kangethe (Guest) on July 25, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Frank Macha (Guest) on July 13, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on June 20, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kassim (Guest) on June 19, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Yusra (Guest) on May 21, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on May 9, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lucy Mushi (Guest) on April 15, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Mduma (Guest) on March 7, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Patrick Akech (Guest) on March 6, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Raha (Guest) on March 5, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Elizabeth Mrema (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Tabitha Okumu (Guest) on January 5, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Betty Akinyi (Guest) on December 13, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Victor Malima (Guest) on November 25, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Rose Waithera (Guest) on October 27, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Victor Mwalimu (Guest) on October 18, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Chum (Guest) on October 17, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Fredrick Mutiso (Guest) on October 1, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

πŸ“– Explore More Articles