Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Featured Image

Binti:Β Hallow mpenzi, Mambo

Jamaa:Β Poa baby

Binti:Uko wapi?

Jamaa: Niko town napata lunch

Binti:Β Wow unarudi saa ngap? Nina njaa dear naomba uniletee msosi

Jamaa:Β Narudi baada ya nusu saa nikuletee nini?

Binti:Β Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne ya kukaangwa pembeni, baga, piza, coke take away baridi, mkate wa moto kwenye ile bekari ya wapemba na maji ya kunywa ya kiimanjaro.

Jamaa:Umesahau viti, meza, masufuria, sahani na beseni na vijiko.

Binti:Β Kwanini dear?

Jamaa:Β Naona hutaki kula unataka kufungua hoteli!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mariam Kawawa (Guest) on February 6, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Rehema (Guest) on February 1, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Mchome (Guest) on January 21, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Furaha (Guest) on January 12, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Josephine Nekesa (Guest) on January 4, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Masika (Guest) on January 3, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Kitine (Guest) on October 12, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Athumani (Guest) on September 29, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Kassim (Guest) on September 20, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Victor Mwalimu (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on September 6, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

John Kamande (Guest) on August 24, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Zakia (Guest) on August 20, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Betty Cheruiyot (Guest) on August 10, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Farida (Guest) on August 6, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Peter Mwambui (Guest) on August 3, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

James Kimani (Guest) on July 28, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Maida (Guest) on June 28, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Hekima (Guest) on June 28, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Elizabeth Mrope (Guest) on June 3, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on June 2, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Henry Mollel (Guest) on May 13, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Maimuna (Guest) on March 22, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Francis Mtangi (Guest) on March 18, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nora Lowassa (Guest) on February 28, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on February 23, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Alice Mwikali (Guest) on February 4, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on January 20, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on January 8, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on January 2, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on December 23, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on December 18, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jabir (Guest) on November 1, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mugendi (Guest) on October 27, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Bahati (Guest) on October 26, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on September 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on August 11, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ibrahim (Guest) on August 9, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Jamal (Guest) on July 14, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Masika (Guest) on July 8, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mwanakhamis (Guest) on May 12, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lucy Mahiga (Guest) on April 16, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on April 6, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rahim (Guest) on April 6, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rabia (Guest) on March 26, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mwachumu (Guest) on March 10, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Linda Karimi (Guest) on March 8, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwanaidha (Guest) on February 17, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

James Kawawa (Guest) on February 14, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on January 13, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

George Mallya (Guest) on January 7, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Mushi (Guest) on December 19, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Zakaria (Guest) on December 18, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Mwangi (Guest) on December 14, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on December 5, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ndoto (Guest) on December 1, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on November 20, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Edwin Ndambuki (Guest) on November 14, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on November 3, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Related Posts

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

πŸ“– Explore More Articles