Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Featured Image

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

A: *Hapana, nimebadilisha kichwa.*

Q: Hiyo simu umenunua?

A: *Hapana nimeitengeneza mwenyewe.*

Q: Utakula mboga na nini?

A: *Mdomo*

(Simu inaita usiku,then aliyepiga anauliza) Q: Nimekuamsha?

A: *Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.*

Q: Gazeti la leo linasemaje?

A: *Sijaongea nalo.*

Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?

A: *Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.*

Q: Hiyo ni ajali?

A: *Hapana ni driver ameamua kupark gari upside down* .

Q: Umepause movie?

A: *Hapana wamechoka kuact wanarest.*
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joy Wacera (Guest) on February 7, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on February 7, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on January 13, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Sarah Mbise (Guest) on December 7, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Sekela (Guest) on November 9, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Francis Mtangi (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Jabir (Guest) on September 8, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Malisa (Guest) on August 26, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jamila (Guest) on August 18, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Benjamin Kibicho (Guest) on August 6, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Ali (Guest) on July 26, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Minja (Guest) on July 25, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Charles Wafula (Guest) on July 14, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on July 7, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

David Chacha (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on June 11, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Anthony Kariuki (Guest) on May 23, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on May 12, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nancy Komba (Guest) on May 9, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Charles Mchome (Guest) on April 20, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mwachumu (Guest) on April 13, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Malima (Guest) on April 3, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on April 2, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Charles Mboje (Guest) on March 19, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwachumu (Guest) on March 11, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Fadhili (Guest) on February 13, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nora Kidata (Guest) on February 4, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Kidata (Guest) on January 26, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on December 26, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on November 2, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Michael Onyango (Guest) on September 27, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on September 24, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on September 21, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on August 4, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on July 4, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Mwanakhamis (Guest) on July 1, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Peter Mwambui (Guest) on June 22, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mjaka (Guest) on June 21, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

James Mduma (Guest) on June 18, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Janet Mwikali (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Rose Waithera (Guest) on May 29, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on May 25, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on May 18, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on April 19, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on March 19, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mariam Kawawa (Guest) on February 5, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

David Chacha (Guest) on January 17, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Rahim (Guest) on December 27, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sultan (Guest) on December 21, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mary Kendi (Guest) on December 11, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Samuel Omondi (Guest) on November 17, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Samson Mahiga (Guest) on October 27, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on September 23, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Yahya (Guest) on September 21, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Kawawa (Guest) on September 3, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on August 29, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on August 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on August 7, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Related Posts

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About