Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Featured Image

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu 2_

*mchaga* : _zina kachumbari?_

*mhudumu*: _ndio!_

*mchaga*: _kachumbari mnauzaje?_

*mhudumu*: _kachumbari ni bure._

*mchaga*: _ok basi naomba kachumbari sahani mbili, chips ziache tuuu_.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ _SIPENDI UJINGA MIMI_πŸ’₯

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Henry Mollel (Guest) on November 7, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Ahmed (Guest) on October 8, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Paul Ndomba (Guest) on September 23, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Rubea (Guest) on August 1, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Martin Otieno (Guest) on July 21, 2019

Asante Ackyshine

David Musyoka (Guest) on July 13, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Shabani (Guest) on June 30, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Frank Sokoine (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Peter Tibaijuka (Guest) on June 12, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on June 7, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Neema (Guest) on May 24, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Mallya (Guest) on May 9, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Adhiambo (Guest) on May 2, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on April 24, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Benjamin Kibicho (Guest) on March 27, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on March 24, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

James Kawawa (Guest) on March 21, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Bahati (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Mchome (Guest) on February 28, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

James Kawawa (Guest) on January 26, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on January 13, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on January 5, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on January 3, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Edward Chepkoech (Guest) on December 31, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Lydia Wanyama (Guest) on December 8, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on November 13, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on November 6, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Benjamin Masanja (Guest) on October 30, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nyota (Guest) on October 23, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on October 21, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Catherine Naliaka (Guest) on October 20, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Biashara (Guest) on September 23, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Rose Waithera (Guest) on September 21, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Issa (Guest) on September 13, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Simon Kiprono (Guest) on August 3, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Betty Akinyi (Guest) on July 18, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kahina (Guest) on July 17, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Habiba (Guest) on July 17, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Joy Wacera (Guest) on June 25, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on June 10, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on June 3, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Wangui (Guest) on June 2, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Chris Okello (Guest) on May 20, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on May 11, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on April 26, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Francis Mrope (Guest) on April 17, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Fadhila (Guest) on March 18, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

David Kawawa (Guest) on March 1, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Isaac Kiptoo (Guest) on February 21, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Baridi (Guest) on February 13, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Nancy Kawawa (Guest) on October 25, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on October 15, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Mwita (Guest) on October 15, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Betty Kimaro (Guest) on August 28, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Kijakazi (Guest) on August 27, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Abdullah (Guest) on August 13, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Makame (Guest) on July 28, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mwanaidha (Guest) on July 23, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Ruth Mtangi (Guest) on July 11, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

πŸ“– Explore More Articles