Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Featured Image

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyumbani.

kwa furaha waliopata wazazi, mama aliamua
kurosti kuku WAWILI(2) kwa ajili yao.
Mezani jamaa akataka kuwadhihirishia kuwa yeye ni msomi,
akawaambia "hawa kuku unaona wako wawili ila kwa kutumia
sheria za arthematic na geometric kuna kuku watatu mezani"
mama"hee embu tuoneshe mwanangu"
jamaa akachukua kuku ya kwanza akainua juu "ngapi?"
wazazi"moja" akainua wa pili "ngapi?" wazazi "mbili"
akawarudisha akisema"wazee wangu nadhani japo shule
hamkwenda ila mnajua moja+mbili=tatu so tuna kuku watatu
mezani"
baba"mmh kweli mwanangu umesoma. SASA TUFANYE IVI
MIMI NACHUKUA KUKU MOJA NA MAMA YAKO WA PILI WE
UTAKULA UYO WA TATU ULIYOSEMA"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mwanakhamis (Guest) on July 31, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Francis Mrope (Guest) on July 10, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Linda Karimi (Guest) on June 28, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Baraka (Guest) on June 16, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Ann Awino (Guest) on June 14, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

John Mushi (Guest) on June 1, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on May 29, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Sumaye (Guest) on May 24, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 11, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 31, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mazrui (Guest) on March 25, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on March 22, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

David Kawawa (Guest) on March 5, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on February 17, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on February 6, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ruth Mtangi (Guest) on January 13, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mwanaidha (Guest) on January 2, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on December 31, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on December 19, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Khatib (Guest) on December 15, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on November 25, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Joy Wacera (Guest) on November 22, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Mkumbo (Guest) on October 31, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on October 24, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Violet Mumo (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Zakia (Guest) on September 23, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Mushi (Guest) on September 21, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on September 14, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwagonda (Guest) on September 4, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Salima (Guest) on August 21, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Mwikali (Guest) on August 2, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on July 5, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Janet Mwikali (Guest) on June 17, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

George Tenga (Guest) on June 7, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Victor Mwalimu (Guest) on June 2, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Umi (Guest) on May 18, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Miriam Mchome (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Esther Cheruiyot (Guest) on April 21, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on April 11, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on April 11, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 10, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Nasra (Guest) on April 10, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Azima (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Fatuma (Guest) on March 19, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Anna Mahiga (Guest) on March 9, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Rose Waithera (Guest) on January 31, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on January 24, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on January 19, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Yusra (Guest) on January 6, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Benjamin Kibicho (Guest) on January 1, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on November 26, 2017

😊🀣πŸ”₯

Saidi (Guest) on November 4, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Rose Lowassa (Guest) on October 27, 2017

Asante Ackyshine

Moses Kipkemboi (Guest) on October 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on September 25, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on September 2, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on August 28, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Rose Mwinuka (Guest) on August 16, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Esther Cheruiyot (Guest) on August 11, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Hawa (Guest) on May 22, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Related Posts

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About