Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Featured Image

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"

MLEVI: Niletee supu kisha wasikilize wote waliokaa hapa na wao wape supu sipendi kunywa supu watu wananiangalia
Safari hii watu wakapiga makofi
Baadae akamuita mhudumu
MLEVI: Niandikie bili zangu kisha waandikie wote bili zao sipendi kulipa huku watu wananiangalia

Wale wateja wakamvaa na kumshushia kichapo… teh teh teh teh teh hii kali hakuna cha bure mjini hahahaha na jasho la mtu haliliwi wandugu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Mwinuka (Guest) on August 14, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mazrui (Guest) on August 9, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Betty Kimaro (Guest) on August 4, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on June 21, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on June 20, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Stephen Amollo (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mariam Kawawa (Guest) on May 30, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on April 27, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Margaret Anyango (Guest) on April 24, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on March 8, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Mligo (Guest) on February 7, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on February 7, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Safiya (Guest) on February 6, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on January 13, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on December 30, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Njeri (Guest) on December 29, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on December 19, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Lissu (Guest) on December 15, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on December 12, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Peter Tibaijuka (Guest) on November 27, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on November 22, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 25, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on October 13, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Yusuf (Guest) on October 12, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on October 12, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on October 7, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Jane Muthoni (Guest) on October 6, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 26, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on September 14, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sultan (Guest) on September 9, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on August 22, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on August 21, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on August 9, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Josephine (Guest) on July 13, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

James Malima (Guest) on July 10, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on June 29, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Alex Nyamweya (Guest) on June 17, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Abubakar (Guest) on June 2, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 26, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Peter Mugendi (Guest) on May 24, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on April 25, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on April 13, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 7, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Salma (Guest) on March 1, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Sumaya (Guest) on February 20, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Mwanahawa (Guest) on February 17, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Ruth Mtangi (Guest) on February 17, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Halima (Guest) on January 30, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on January 24, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mercy Atieno (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Shamim (Guest) on December 1, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Josephine Nekesa (Guest) on November 12, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on October 27, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 20, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Makame (Guest) on October 13, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Robert Ndunguru (Guest) on August 31, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mercy Atieno (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Joy Wacera (Guest) on August 15, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on August 7, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

πŸ“– Explore More Articles