Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Featured Image

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.
(2) Mwenda pole?………… Tachelewa fika.
(3) Usipoziba ufa ?……….. Mizi taona mpaka dani.
(4) Usilolijua ?……………… Uliza google.
(5) Mbio za utelezini ?……. Chafua guo yako.
(6) Ukipenda boga ?……… Ngoja mezi ya ramzani tapata.
(7) Ukiona vinaelea ?…….. iko nyepesi hiyo.
(8) Maji yakimwagika ?…… Mambie dada tapiga deki.
(9) Chelewa chelewa ?……… Takosa guo ya sikukuu…
(10) Kila ndege ?………….. …Hutua Airport
(11) Bandu bandu ?….. …….Rafiki yake Jecha
(12) Mtaka cha Mvunguni ?… Ondoa tanda
(13) Simba mwenda kimya?….Kama sio gonjwa basi haina njaa.
(14) Aisifuye mvua ?………. Najua iko Mkulima hiyo
(15) Barabara ndefu ?…….. Ongeza mwendo au tachelewa fika.
(16) Mlanawe hafi nawe ila?…. Takimbia
(17) Asie sikia la mkuu ? …….. Tapeleka jela
(18) Hasira za mkizi ? …………..Tatafuna veve
(19) Mchamba wima ?…….. Karibu ya Hurumzi
(20) Akumurikae mchana ?….Kipofu hiyo
(21) Mficha maradhi ?…….. Taenda Loliondo
(22) Mkataa wingi ? ……….Taenda Chadema
(23) Bendera ?……………. Kama sio ya CCM, ya CUF
(24) Baniani mbaya ?……. Peleka Bombay Lakini sio HB kweli, naonea tu
(25) Akili nyingi ?………. Tapasi mtihani yote
(26) Penye kuku wengi ? …….. Chija bili tatu ivi, hapana mtu najua.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 28, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Andrew Mchome (Guest) on April 21, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Latifa (Guest) on March 20, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Charles Mboje (Guest) on March 17, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alice Mwikali (Guest) on February 15, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on February 14, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Leila (Guest) on February 1, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Sarah Mbise (Guest) on January 14, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on January 8, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Janet Sumari (Guest) on December 30, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Francis Mtangi (Guest) on December 10, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nancy Komba (Guest) on November 6, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

John Malisa (Guest) on November 1, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on October 27, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwanahawa (Guest) on October 24, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Grace Wairimu (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Sarah Achieng (Guest) on October 15, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on September 17, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Tabitha Okumu (Guest) on September 9, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Salima (Guest) on August 26, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on August 20, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanaidi (Guest) on July 16, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Moses Mwita (Guest) on July 16, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Nora Lowassa (Guest) on July 2, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on June 20, 2021

🀣πŸ”₯😊

Jacob Kiplangat (Guest) on June 9, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Emily Chepngeno (Guest) on June 7, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Agnes Njeri (Guest) on April 23, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Alice Mwikali (Guest) on April 8, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on March 16, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

James Kawawa (Guest) on March 2, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on February 19, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Edward Chepkoech (Guest) on February 14, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mwinyi (Guest) on February 8, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Asha (Guest) on December 20, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on December 1, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

John Mwangi (Guest) on November 16, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Rose Kiwanga (Guest) on November 12, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Kenneth Murithi (Guest) on November 11, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Maulid (Guest) on November 2, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

John Malisa (Guest) on October 8, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on October 7, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Selemani (Guest) on October 7, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Kenneth Murithi (Guest) on September 30, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on September 15, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on August 9, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on August 9, 2020

😊🀣πŸ”₯

Rahim (Guest) on August 2, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

John Kamande (Guest) on July 31, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on July 21, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on July 1, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on May 19, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on May 3, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Waithera (Guest) on March 27, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Andrew Mchome (Guest) on February 29, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Nancy Kawawa (Guest) on December 14, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Elizabeth Mrope (Guest) on December 8, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on December 1, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More