Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sharon Kibiru (Guest) on June 10, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Faith Kariuki (Guest) on June 5, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Paul Ndomba (Guest) on May 31, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Emily Chepngeno (Guest) on May 10, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on April 22, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on April 21, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on April 16, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on April 15, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Diana Mumbua (Guest) on April 9, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mhina (Guest) on April 3, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kendi (Guest) on March 30, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nancy Akumu (Guest) on March 20, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Richard Mulwa (Guest) on March 11, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mumbua (Guest) on March 11, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on March 8, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mohamed (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Frank Macha (Guest) on February 21, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanakhamis (Guest) on January 31, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Husna (Guest) on January 30, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Betty Cheruiyot (Guest) on January 29, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 23, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on December 27, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Samuel Omondi (Guest) on December 22, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Rahim (Guest) on December 21, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Vincent Mwangangi (Guest) on December 15, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Halimah (Guest) on November 30, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Robert Okello (Guest) on October 27, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Issa (Guest) on October 23, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Samuel Were (Guest) on October 17, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on October 3, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on September 27, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on September 21, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on September 6, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Sumari (Guest) on September 4, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Francis Njeru (Guest) on August 31, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Catherine Naliaka (Guest) on July 12, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 3, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on June 29, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on May 26, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Moses Mwita (Guest) on May 6, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on April 22, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Diana Mallya (Guest) on April 1, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on March 31, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Mtumwa (Guest) on March 26, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on March 18, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on March 17, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on March 13, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Ahmed (Guest) on March 12, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on February 9, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Irene Akoth (Guest) on January 11, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Rose Amukowa (Guest) on January 9, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Francis Mtangi (Guest) on December 6, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Juma (Guest) on November 14, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

George Ndungu (Guest) on November 3, 2020

🀣πŸ”₯😊

James Kawawa (Guest) on October 24, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Rose Amukowa (Guest) on September 15, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on August 23, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on August 4, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on July 9, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About