Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Utani wa wachaga

Featured Image

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita "vishohia". Wanawake wa Rombo ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji.

2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.

3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchinja… wengi wanamiliki mabucha. Wana hasira sana na ni wakatili.. Akikuchoma kisu, siku ya mazishi anakuja kudai kisu chake.

4. WAMACHAME; hawa ni wezi sana, ukifanya nae dili umeliwa. Ni wasiri sana lakini wako makini mno hasa kwenye pesa. Wakiwa na hasira hawaoneshi waziwazi, so Mmachame anaweza kukuua huku akitabasamu. Sio waaminifu sana lakini wanaenda kanisani mara nyingi zaidi kuliko Wachaga wote. Wanawake wa machame wanaitwa 'Wapalestina'.. Mume ukitajirika mkeo anakuua ili arithi mali.

5. WAURU; hawa hupenda kusoma sana lakini hawapendi maendeleo kabisa. Hadi leo eneo lao la Kishumundu linatumika ku-identify wachagga washamba. Wanawake wakifikisha umri wa miaka 40 hua wehu na wanaume huwa vichaa mapema zaidi. Wanaume ni wavivu, lakini wanawake ni wachapakazi hodari. Wanazurura mjini na mabeseni wakiuza ndizi mbivu.. Ukioa Uru jiandae kulea kichaa.

6. WASIHA; Kwanza hawapendi kuitwa Wachagga. Wanajiita watu wa West-Kilimanjaro. Ni mchanganyiko wa Wachagga na WaMeru. Hawapendi shule ila wanapenda zaidi kazi za ufundi na kilimo. Viazi vingi vya Chips Arusha na Moshi vinatoka kwao. Wanawake zao wana "vigimbi" mguuni sababu ya kulima mno.!

7. WAKIRUA; wanapenda sifa kama Wahaya. Wanawake wa Kirua ni wachawi kupindukia.. Wanaloga hata jiwe ili tu alikomoe.. Wanaume wa Kirua hawapendi kuoa kwao.. Hawapendi kuishi mjini maana wanaogopa gharama.. lakini siku wakija mjini wawili tu utadhani wako mia.

8. WA OLD-MOSHI; Hawa ni mafundi stadi wa ujenzi wa nyumba, japo hawajengi kwao. Mpaka leo hamna daladala ya kwenda Old-Moshi inayoanzia Moshi mjini, maana ni wabishi kulipa nauli na pesa inaishia kwenye mbege njiani. Wanaume wamezoea kutoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri na kurudi saa sita ya usiku kwa miguu.!

Wachaga mnisamehe!
πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒβœ‹βœ‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Furaha (Guest) on July 8, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Sokoine (Guest) on June 28, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Safiya (Guest) on June 5, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Moses Mwita (Guest) on May 25, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Salma (Guest) on May 22, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on May 19, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on May 15, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Cheruiyot (Guest) on May 13, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on May 1, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Moses Kipkemboi (Guest) on April 25, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Tabitha Okumu (Guest) on March 24, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on March 13, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 10, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on March 3, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on February 7, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Josephine (Guest) on January 26, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Rose Lowassa (Guest) on December 28, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mahiga (Guest) on December 17, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on December 3, 2021

Asante Ackyshine

Violet Mumo (Guest) on November 22, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on November 14, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

John Lissu (Guest) on November 10, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Rose Amukowa (Guest) on September 20, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Sofia (Guest) on August 23, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Sarah Mbise (Guest) on August 21, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on August 19, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Abubakari (Guest) on August 5, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Patrick Kidata (Guest) on July 31, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on July 13, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on July 2, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on June 27, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 8, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Andrew Odhiambo (Guest) on June 2, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Salum (Guest) on May 31, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Salima (Guest) on May 12, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Sarah Mbise (Guest) on April 22, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on April 17, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on March 19, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Margaret Mahiga (Guest) on March 2, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Rose Lowassa (Guest) on January 20, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on December 14, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Stephen Mushi (Guest) on December 2, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

George Tenga (Guest) on October 28, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Baridi (Guest) on October 5, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Francis Mtangi (Guest) on September 27, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on September 18, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on September 8, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sarah Achieng (Guest) on August 23, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on August 16, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mhina (Guest) on August 3, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on July 19, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on April 29, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Susan Wangari (Guest) on April 8, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on March 10, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Faith Kariuki (Guest) on March 4, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on February 15, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 8, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Frank Macha (Guest) on January 8, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Henry Sokoine (Guest) on January 6, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Raphael Okoth (Guest) on December 11, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Related Posts

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More