Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hali za ndoa

Featured Image
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, akamwambia baba yake akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa babaake, mwisho babaake akamwambia basi ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu! Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha kikao cha ndugu wote pande 2, Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu alipoolewa ndo kijana wetu atapona! Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote! Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana, mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia wanaume peke yao! Mzee akamwambia mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo? Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani umejionea hali halisi. Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako! Kijana akazimia! SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ruth Kibona (Guest) on August 4, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Anna Sumari (Guest) on July 15, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Malela (Guest) on July 15, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Nchi (Guest) on July 2, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on June 30, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

David Kawawa (Guest) on May 19, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on May 13, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwanahawa (Guest) on April 25, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

James Malima (Guest) on April 24, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rehema (Guest) on April 22, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on March 26, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Hellen Nduta (Guest) on March 17, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rahim (Guest) on March 5, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Martin Otieno (Guest) on February 27, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Peter Mbise (Guest) on February 21, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on February 1, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Ibrahim (Guest) on January 18, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Monica Lissu (Guest) on December 22, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on November 29, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on November 24, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Nkya (Guest) on November 23, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 20, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nora Kidata (Guest) on November 20, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on October 10, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on October 4, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwajuma (Guest) on September 5, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nancy Akumu (Guest) on September 1, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mariam Hassan (Guest) on June 27, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on June 19, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nora Kidata (Guest) on June 3, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 23, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on May 22, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on May 12, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Anna Mahiga (Guest) on April 17, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

James Kimani (Guest) on April 17, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Monica Lissu (Guest) on March 22, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Jane Muthoni (Guest) on March 6, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Betty Akinyi (Guest) on March 2, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Salma (Guest) on February 27, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 10, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on January 21, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on January 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on December 30, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Christopher Oloo (Guest) on December 29, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on December 18, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 29, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on October 23, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on October 14, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rahim (Guest) on October 13, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on September 28, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sultan (Guest) on September 16, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Zakia (Guest) on September 14, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mary Kendi (Guest) on July 23, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Stephen Amollo (Guest) on July 10, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on June 16, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on June 5, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 5, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About