Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Featured Image

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali
.
MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini… Baada ya siku chache wakaja wanaharakati toka Umoja wa Mataifa
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.

MFUGAJI: Huwa nawaanzia siku na uji wa ulezi, halafu mikate, mchana ugali kwa kabeji na usiku viazi
.
MWANAHARAKATI: Loh watu wanakufa kwa njaa wewe unalisha nguruwe, akapigwa faini….siku chache baadae wakaja wanaharakati wa Mazingira
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.
MFUGAJI: (Kwanza akasita kidogo) Hawa huwa nawapa shilingi alfu tano kila mmoja kila siku halafu wao wenyewe wanaenda kununua chakula wanachokitaka.. .

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 15, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rose Amukowa (Guest) on March 9, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on March 5, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Samuel Omondi (Guest) on February 27, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Zawadi (Guest) on January 31, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nahida (Guest) on January 15, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Wanjala (Guest) on January 14, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on December 20, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on December 16, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on November 26, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Tabitha Okumu (Guest) on November 20, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on November 19, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Kijakazi (Guest) on November 13, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Patrick Akech (Guest) on October 6, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Daudi (Guest) on October 4, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Thomas Mtaki (Guest) on September 12, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Ndungu (Guest) on August 26, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Janet Wambura (Guest) on August 20, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

George Mallya (Guest) on August 6, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Shabani (Guest) on July 19, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ali (Guest) on July 14, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Jane Malecela (Guest) on July 4, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on June 17, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Kahina (Guest) on June 13, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on May 2, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Zakia (Guest) on May 1, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Omar (Guest) on April 14, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Victor Malima (Guest) on March 13, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abubakar (Guest) on March 13, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Victor Sokoine (Guest) on March 3, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on February 23, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on February 4, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

David Sokoine (Guest) on January 19, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Fredrick Mutiso (Guest) on December 27, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Malima (Guest) on December 4, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwanajuma (Guest) on November 28, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Ann Awino (Guest) on November 27, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on November 12, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on October 28, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on October 3, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Sofia (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mary Sokoine (Guest) on August 15, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Nancy Komba (Guest) on June 28, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on June 24, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Tibaijuka (Guest) on June 14, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on May 18, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Margaret Mahiga (Guest) on May 15, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on May 2, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on April 21, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Nancy Kabura (Guest) on March 15, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rose Waithera (Guest) on March 10, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on February 20, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on February 19, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Salima (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mary Kendi (Guest) on February 10, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 29, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Maida (Guest) on January 24, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Agnes Lowassa (Guest) on January 22, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on January 17, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More