Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Featured Image

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!

Kesho yake Jamaa kaja
na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake,
jioni ilipofika
Mume akarudi home na
kumuuliza Mkewe, "Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?"
MKE akajibu kwa unyonge, "Ndio!"
MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
Mke hoi……

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Monica Adhiambo (Guest) on December 8, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joseph Kawawa (Guest) on November 21, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on November 14, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Zawadi (Guest) on November 13, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Kenneth Murithi (Guest) on November 3, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

John Malisa (Guest) on October 6, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Khalifa (Guest) on September 14, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Sokoine (Guest) on September 7, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

David Ochieng (Guest) on August 19, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Jamila (Guest) on August 14, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Lydia Wanyama (Guest) on July 26, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on July 6, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

James Malima (Guest) on June 1, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Victor Sokoine (Guest) on May 31, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on May 19, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on May 8, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Khadija (Guest) on May 3, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

James Kawawa (Guest) on April 17, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mwajabu (Guest) on April 14, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwanaidha (Guest) on March 23, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Hassan (Guest) on March 16, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Mallya (Guest) on March 12, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Athumani (Guest) on March 10, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Baraka (Guest) on January 26, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Edward Lowassa (Guest) on January 8, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kawawa (Guest) on December 21, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 15, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on November 30, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on November 18, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rahma (Guest) on November 11, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Janet Mwikali (Guest) on November 6, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Josephine (Guest) on November 2, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Josephine Nduta (Guest) on October 19, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on October 10, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Hashim (Guest) on October 9, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Jackson Makori (Guest) on August 14, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on August 5, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Elijah Mutua (Guest) on July 14, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Agnes Sumaye (Guest) on July 2, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Isaac Kiptoo (Guest) on June 25, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

James Malima (Guest) on June 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

John Mushi (Guest) on May 17, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on April 23, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Asha (Guest) on April 7, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mwafirika (Guest) on April 6, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Chum (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rose Mwinuka (Guest) on March 23, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on March 5, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Malela (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

John Mushi (Guest) on January 20, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Husna (Guest) on January 15, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Sharifa (Guest) on January 8, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nancy Akumu (Guest) on December 29, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Vincent Mwangangi (Guest) on November 30, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on October 3, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Diana Mallya (Guest) on September 2, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Maulid (Guest) on August 28, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Zawadi (Guest) on August 21, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Ann Wambui (Guest) on August 1, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About