Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Featured Image

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: we nani kwani?
Polisi::: sisi polisi
Jamaa::: mnataka nini?

Polisi::: kuongea na wewe
Jamaa::: kuongea na mimi?!
Polisi::: ndio
Jamaa::: mko wangapi?
Polisi::: tuko watatu
Jamaa::: kama mko watatu si muongee wenyewe…!!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Zakaria (Guest) on November 9, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on November 9, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Rabia (Guest) on November 8, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 7, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on November 7, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on October 29, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mary Sokoine (Guest) on October 15, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mtumwa (Guest) on October 7, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nancy Kawawa (Guest) on September 3, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Peter Mugendi (Guest) on September 2, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Stephen Kangethe (Guest) on August 26, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Victor Malima (Guest) on August 21, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on August 9, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Joy Wacera (Guest) on August 7, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Brian Karanja (Guest) on July 17, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Raphael Okoth (Guest) on July 14, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Jafari (Guest) on July 12, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Robert Okello (Guest) on June 27, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Issa (Guest) on May 15, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Jane Muthoni (Guest) on May 12, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Diana Mumbua (Guest) on May 1, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Lydia Wanyama (Guest) on April 24, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on April 20, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on April 20, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on April 13, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Zawadi (Guest) on April 3, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on April 2, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on March 21, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on March 5, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on February 15, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Mallya (Guest) on February 2, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on January 9, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Warda (Guest) on January 4, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Edward Lowassa (Guest) on January 4, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on January 4, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on December 6, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on November 9, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Elijah Mutua (Guest) on November 8, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on October 28, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on October 14, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Richard Mulwa (Guest) on September 30, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

David Nyerere (Guest) on August 13, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Agnes Njeri (Guest) on August 13, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on August 9, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Moses Kipkemboi (Guest) on August 8, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Abdullah (Guest) on August 7, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Margaret Anyango (Guest) on August 5, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on August 4, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Joseph Kitine (Guest) on July 30, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

David Musyoka (Guest) on July 11, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on July 10, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

John Mushi (Guest) on July 1, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on June 16, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Rose Amukowa (Guest) on May 15, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on May 1, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on April 30, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on April 28, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on April 27, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Related Posts

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About