Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Featured Image

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambaia:

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha Maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o
MSICHANA: Aaah! Icho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie
MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.
MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe
Baba mtu akawatazamaaaa kisha akasema
BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli
MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana hupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!
BABA: Sawa! Usisahau kumpatie na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!
Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GOT PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Irene Makena (Guest) on November 13, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Malela (Guest) on October 31, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Grace Njuguna (Guest) on October 7, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Majid (Guest) on September 29, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Mariam Kawawa (Guest) on September 14, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Sarah Mbise (Guest) on September 12, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on September 12, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Rahim (Guest) on August 25, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mary Kidata (Guest) on August 18, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Tabu (Guest) on August 10, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Rose Mwinuka (Guest) on July 20, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on June 25, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on June 24, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on May 25, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

David Musyoka (Guest) on May 13, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on May 5, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on April 22, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Anna Kibwana (Guest) on April 13, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on March 7, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Diana Mumbua (Guest) on January 26, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Agnes Lowassa (Guest) on January 25, 2022

😊🀣πŸ”₯

Joseph Kiwanga (Guest) on January 23, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on January 16, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Chiku (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kawawa (Guest) on December 6, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 4, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Philip Nyaga (Guest) on October 30, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Salum (Guest) on October 22, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Francis Mrope (Guest) on October 12, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on October 12, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Alice Wanjiru (Guest) on August 15, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 14, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Maulid (Guest) on July 11, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Catherine Naliaka (Guest) on June 10, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Robert Ndunguru (Guest) on June 3, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mary Mrope (Guest) on May 24, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine Nduta (Guest) on May 4, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on April 19, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on March 9, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on February 16, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on February 8, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kawawa (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mugendi (Guest) on January 22, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on December 28, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jane Muthoni (Guest) on October 25, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sarah Karani (Guest) on September 3, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Robert Okello (Guest) on July 28, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Paul Kamau (Guest) on July 24, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Maneno (Guest) on July 15, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Athumani (Guest) on July 10, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Ruth Wanjiku (Guest) on July 9, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hawa (Guest) on July 6, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Paul Ndomba (Guest) on June 8, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 4, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

David Musyoka (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mercy Atieno (Guest) on May 12, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on May 7, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sultan (Guest) on April 17, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Khadija (Guest) on April 8, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Related Posts

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More