Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Featured Image

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
utakalo lifanyike
duniani kama mbinguni.
Utupe leo mkate wetu wa kila siku,
utusamehe makosa yetu,
kama tunavyowasamehe na sisi waliotukosea.
Usitutie katika kishawishi,
lakini utuopoe maovuni.
Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Kiwanga (Guest) on May 30, 2017

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Janet Sumaye (Guest) on April 4, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Joseph Kawawa (Guest) on March 14, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

James Malima (Guest) on February 18, 2017

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Janet Wambura (Guest) on February 16, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Joseph Mallya (Guest) on January 23, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Janet Sumaye (Guest) on December 21, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

James Malima (Guest) on July 29, 2016

Amina

Edwin Ndambuki (Guest) on July 8, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Irene Akoth (Guest) on April 3, 2016

Neema na amani iwe nawe.

David Chacha (Guest) on March 11, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Linda Karimi (Guest) on February 21, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Janet Sumaye (Guest) on February 19, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Raphael Okoth (Guest) on January 22, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

David Nyerere (Guest) on December 19, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Ann Awino (Guest) on December 13, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Grace Majaliwa (Guest) on December 12, 2015

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Jacob Kiplangat (Guest) on December 5, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Joyce Mussa (Guest) on October 17, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Sharon Kibiru (Guest) on September 11, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Joyce Mussa (Guest) on September 2, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Janet Wambura (Guest) on July 25, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Sharon Kibiru (Guest) on April 9, 2015

Imani inaweza kusogeza milima

Related Posts

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)