Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Featured Image

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima awe golikipa
3.Mwenye mpira ataamua nan acheze na nan asicheze

4.kama haujashiriki kufuma mpira unaweza ucpate namba
5.Ukichaguliwa mwishon ujue uwezo wako ni mdogo kuliko wote
6.Mwenye mpira akikaclika mpira umeisha
7.Inaruhusiwa kubadili golikipa kama ikitokea penat na baada ya apo ataendelea kudaka yule yule
8.Mechi itaisha pale giza linapoingia
9.wale ambao wamekosa namba kazi yao ni kufata mpira ukitoka
10.yule mtaalam wa soka {KM MIMI } huwa hakoc namba ata cku moja!
Ukiikumbuka lazima utabasam!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ndoto (Guest) on July 14, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

James Kawawa (Guest) on July 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

John Mwangi (Guest) on June 28, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Jackson Makori (Guest) on June 14, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Nyota (Guest) on June 8, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Patrick Kidata (Guest) on May 28, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Leila (Guest) on May 22, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mariam (Guest) on May 4, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Diana Mallya (Guest) on March 31, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on March 31, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khalifa (Guest) on March 1, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Samson Tibaijuka (Guest) on January 28, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Nassor (Guest) on January 17, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mary Kidata (Guest) on January 17, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Rahma (Guest) on December 8, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Lucy Mahiga (Guest) on December 5, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Muslima (Guest) on November 25, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on November 24, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on November 8, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Tenga (Guest) on October 31, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on October 19, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Hawa (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Mallya (Guest) on September 29, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Edwin Ndambuki (Guest) on September 21, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on September 19, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Edith Cherotich (Guest) on September 15, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on September 12, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Hekima (Guest) on August 25, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Umi (Guest) on August 23, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on August 17, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on August 7, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on August 6, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on June 21, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on June 20, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Nyota (Guest) on June 13, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Tabu (Guest) on May 18, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Miriam Mchome (Guest) on May 16, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Zakaria (Guest) on May 2, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Jane Muthoni (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Malela (Guest) on April 25, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Joyce Aoko (Guest) on April 18, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 26, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Sarafina (Guest) on March 14, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Irene Makena (Guest) on March 1, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 25, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on January 19, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Anna Sumari (Guest) on January 17, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on January 16, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Athumani (Guest) on January 6, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Michael Onyango (Guest) on January 5, 2021

Asante Ackyshine

Janet Wambura (Guest) on December 25, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on October 6, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mazrui (Guest) on September 27, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Faith Kariuki (Guest) on September 23, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Monica Adhiambo (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on August 1, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Musyoka (Guest) on July 8, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Mwinyi (Guest) on June 26, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Zainab (Guest) on May 30, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More