Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Featured Image

Binti:Β Hallow mpenzi, Mambo

Jamaa:Β Poa baby

Binti:Uko wapi?

Jamaa: Niko town napata lunch

Binti:Β Wow unarudi saa ngap? Nina njaa dear naomba uniletee msosi

Jamaa:Β Narudi baada ya nusu saa nikuletee nini?

Binti:Β Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne ya kukaangwa pembeni, baga, piza, coke take away baridi, mkate wa moto kwenye ile bekari ya wapemba na maji ya kunywa ya kiimanjaro.

Jamaa:Umesahau viti, meza, masufuria, sahani na beseni na vijiko.

Binti:Β Kwanini dear?

Jamaa:Β Naona hutaki kula unataka kufungua hoteli!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Zakaria (Guest) on April 4, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Edith Cherotich (Guest) on March 24, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwalimu (Guest) on March 9, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Agnes Sumaye (Guest) on February 14, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Mallya (Guest) on January 10, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mary Mrope (Guest) on January 3, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on December 27, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Josephine Nekesa (Guest) on December 6, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on November 9, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 4, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Mary Kidata (Guest) on July 12, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on July 8, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rabia (Guest) on May 27, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lucy Kimotho (Guest) on May 24, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Irene Makena (Guest) on May 18, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Salma (Guest) on May 14, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Leila (Guest) on April 27, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Ann Wambui (Guest) on March 25, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on March 22, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on March 5, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on February 27, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Janet Mbithe (Guest) on February 9, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Mzee (Guest) on February 6, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Andrew Mchome (Guest) on February 2, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on January 22, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hellen Nduta (Guest) on January 4, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ndoto (Guest) on December 14, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Amani (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Amani (Guest) on October 28, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Sarah Karani (Guest) on October 26, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Charles Wafula (Guest) on October 3, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Irene Makena (Guest) on September 16, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Amir (Guest) on September 6, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on August 25, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on August 13, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Moses Mwita (Guest) on August 12, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on August 11, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Chacha (Guest) on July 30, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kidata (Guest) on July 19, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mushi (Guest) on July 19, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on July 15, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine (Guest) on June 18, 2020

Asante Ackyshine

Thomas Mtaki (Guest) on June 15, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

David Sokoine (Guest) on June 13, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Elizabeth Mrema (Guest) on May 25, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on May 9, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on May 7, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Asha (Guest) on May 2, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Wande (Guest) on April 30, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Lucy Mahiga (Guest) on April 25, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Latifa (Guest) on April 25, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Mchome (Guest) on April 9, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on April 5, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Rose Kiwanga (Guest) on March 28, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on March 10, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Sekela (Guest) on March 1, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Chris Okello (Guest) on February 27, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on February 24, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Shabani (Guest) on February 17, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About