Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Featured Image

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina ya maisha ambayo Mungu anapenda mimi niishi. Usiniache nidanganyike katika jambo muhimu kama hili, ambalo furaha yangu hapa duniani inalitegemea, na hata pia wokovu wa roho yangu.

Unijalie, nikiangazwa na matakwa matakatifu na nikiwa mwaminifu katika kuyatimiza, nikumbatie aina ya maisha ambayo Mungu ameniandalia na yatakayoniongoza kwenye furaha ya milele.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 15, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Anna Sumari (Guest) on June 7, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Sokoine (Guest) on June 2, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Peter Otieno (Guest) on February 24, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Margaret Anyango (Guest) on February 12, 2017

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Violet Mumo (Guest) on February 9, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Joseph Kiwanga (Guest) on February 8, 2017

Neema na amani iwe nawe.

Ruth Mtangi (Guest) on December 1, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Grace Wairimu (Guest) on November 23, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Jane Muthoni (Guest) on November 21, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Raphael Okoth (Guest) on October 17, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

James Mduma (Guest) on October 7, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Moses Kipkemboi (Guest) on September 20, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Henry Sokoine (Guest) on September 15, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Jane Muthui (Guest) on May 2, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Irene Akoth (Guest) on April 4, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Peter Tibaijuka (Guest) on February 1, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

John Lissu (Guest) on January 13, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Jane Malecela (Guest) on November 26, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Anna Mahiga (Guest) on September 7, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Peter Otieno (Guest) on August 12, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Michael Onyango (Guest) on August 3, 2015

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

John Malisa (Guest) on June 11, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Related Posts

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)