Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala ya kuomba Kifo chema

Featured Image

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

mnipokee saa ya kufa kwangu.

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

mnijalie nife mikoni mwenu.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Samuel Were (Guest) on November 25, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Bernard Oduor (Guest) on June 28, 2017

Mungu akubariki!

Dorothy Nkya (Guest) on June 13, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Andrew Mahiga (Guest) on April 12, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Joyce Aoko (Guest) on April 5, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Esther Nyambura (Guest) on March 26, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

James Malima (Guest) on March 19, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Jackson Makori (Guest) on November 11, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Lydia Mutheu (Guest) on October 13, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Charles Wafula (Guest) on October 11, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Rose Kiwanga (Guest) on May 24, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Lucy Kimotho (Guest) on May 13, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Chris Okello (Guest) on May 7, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Lucy Kimotho (Guest) on April 12, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Samson Mahiga (Guest) on March 26, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Violet Mumo (Guest) on January 27, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Paul Ndomba (Guest) on December 18, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Alice Mwikali (Guest) on November 29, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Richard Mulwa (Guest) on November 1, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Jacob Kiplangat (Guest) on October 6, 2015

Rehema zake hudumu milele

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 14, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Mariam Kawawa (Guest) on June 22, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Rose Lowassa (Guest) on April 15, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Related Posts

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About