Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA JIONI

Featured Image

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU……………….. SALAMU MARIA……………….


SALA YA IMANI…….YA MATUMAINI………YA MAPENDO

SALA YA KUTUBU


TUWAZE KATIKA MOYO WETU MAKOSA YA LEO TULIYOMKOSEA MUNGU KWA MAWAZO,KWA MANENO, KWA VITENDO NA KWA KUTOTIMIZA WAJIBU (HUSUBIRI KIDOGO)
NAKUUNGAMIA MUNGU MWENYEZI,NANYI NDUGU ZANGU,KWANI NIMEKOSA MNO KWA MAWAZO,KWA MANENO,KWA VITENDO NA KWA KUTOTIMIZA WAJIBU,NIMEKOSA MIMI,NIMEKOSA SANA.NDIYO MAANA NAKUOMBA MARIA MWENYE HERI,BIKIRA DAIMA,MALAIKA NA WATAKATIFU WOTE,NANYI NDUGU ZANGU,MNIOMBEENI KWA BWANA MUNGU WETU.


MUMNU MWENYEZI ATUHURUMIE ATUSAMEHE DHAMBI ZETU,ATUFIKISHE KWENYE UZIMA WA MILELE.AMINA

SALA YA KUOMBEA WATU……………………
KUSIFU……………………

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Kamau (Guest) on April 8, 2018

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Esther Nyambura (Guest) on October 31, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Dorothy Nkya (Guest) on October 20, 2017

Rehema hushinda hukumu

Stephen Kangethe (Guest) on July 17, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Grace Mligo (Guest) on July 4, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Peter Mwambui (Guest) on April 3, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Janet Wambura (Guest) on March 18, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Josephine Nduta (Guest) on December 26, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Robert Ndunguru (Guest) on December 21, 2016

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Peter Mwambui (Guest) on December 20, 2016

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Mary Kidata (Guest) on October 24, 2016

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Diana Mumbua (Guest) on July 15, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Anna Mahiga (Guest) on May 28, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

David Kawawa (Guest) on May 22, 2016

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Benjamin Kibicho (Guest) on May 5, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Andrew Mahiga (Guest) on April 16, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Peter Tibaijuka (Guest) on April 15, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Anthony Kariuki (Guest) on February 2, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Elizabeth Malima (Guest) on December 8, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Nancy Kawawa (Guest) on November 22, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Jacob Kiplangat (Guest) on November 6, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Brian Karanja (Guest) on June 11, 2015

Nakuombea πŸ™

Jacob Kiplangat (Guest) on April 13, 2015

Tumaini ni nanga ya roho

Related Posts

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About