Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kuweka nia njema

Featured Image

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo neno tendo lote, Namtolea Mungu pote, Roho, mwili chote changu, pendo na uzima wangu, Mungu wangu nitampenda, Wala dhambi sitatenda, Jina lako nasifia, Utakalo hutimia, Kwa utii navumilia, Teso na matata pia, Nipe Bwana neema zako, Niongezee sifa yako, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

David Nyerere (Guest) on July 23, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Elizabeth Malima (Guest) on July 20, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Alex Nyamweya (Guest) on July 10, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Diana Mallya (Guest) on February 6, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Patrick Akech (Guest) on February 4, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Nancy Kawawa (Guest) on January 6, 2017

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Mary Mrope (Guest) on December 3, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Wilson Ombati (Guest) on October 9, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Jane Muthoni (Guest) on September 2, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Anna Sumari (Guest) on August 21, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Faith Kariuki (Guest) on May 16, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Hellen Nduta (Guest) on February 1, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Esther Cheruiyot (Guest) on December 22, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Hellen Nduta (Guest) on December 21, 2015

Rehema hushinda hukumu

Jane Muthui (Guest) on December 11, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Victor Kimario (Guest) on November 12, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Stephen Amollo (Guest) on October 12, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Samson Mahiga (Guest) on October 2, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Daniel Obura (Guest) on September 8, 2015

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Jane Malecela (Guest) on August 18, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Victor Kimario (Guest) on June 12, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Peter Otieno (Guest) on April 27, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Michael Mboya (Guest) on April 6, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Related Posts

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About