Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala ya Medali ya Mwujiza

Featured Image

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na wale wasioukimbilia kwako, hasa maadui wa Kanisa Takatifu, na wale waliokabidhiwa kwako. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Francis Mtangi (Guest) on January 6, 2018

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

John Malisa (Guest) on December 13, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Mercy Atieno (Guest) on September 21, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Majaliwa (Guest) on June 23, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

David Chacha (Guest) on May 27, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Samuel Were (Guest) on March 10, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Isaac Kiptoo (Guest) on March 9, 2017

Sifa kwa Bwana!

Patrick Kidata (Guest) on December 9, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Peter Mugendi (Guest) on December 3, 2016

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Carol Nyakio (Guest) on November 27, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Anna Mahiga (Guest) on November 18, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

George Tenga (Guest) on October 7, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Andrew Mahiga (Guest) on September 28, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

David Sokoine (Guest) on July 21, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Dorothy Nkya (Guest) on July 19, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Edward Lowassa (Guest) on May 7, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Lydia Mutheu (Guest) on May 4, 2016

Amina

Isaac Kiptoo (Guest) on January 25, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Patrick Mutua (Guest) on November 25, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

George Tenga (Guest) on November 16, 2015

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Samson Mahiga (Guest) on November 6, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Nora Kidata (Guest) on August 25, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Diana Mumbua (Guest) on July 26, 2015

Imani inaweza kusogeza milima

Rose Amukowa (Guest) on July 3, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Related Posts

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)