Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Featured Image

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti Takatifu ya Altare;/ pokea kitendo hiki cha kukuangukia kifudi fudi/ kama ishara ya tamaa niliyonayo ya kukuabudu Wewe/ bila kuchoka/ na kukushukuru kwa mapendo yako makubwa/ yasiyo na kipimo/ ambayo Moyo wako Mtakatifu sana/ unawaka katika Sakramenti Takatifu hii./ Siwezi kukushukuru vizuri zaidi/ kuliko kama ningetolea kwako/ matendo yangu yote ya kukuabudu/ unyenyekevu wangu/ uvumilivu na mapendo/ ambayo huu Moyo Mwabudiwa ulifanya,/ bado unafanya/ na utaendelea kufanya katika uzima wa milele mbinguni./ Ninaahidi kupitia Moyo huu,/ nitakupenda,/ nitakutukuza,/ na nitakuabudu kama nitakavyoweza./ Ninajiunganisha na hii Sadaka Takatifu/ ambayo unatoa kwa Baba Mungu/ na ninatolea kwako utu wangu./ Ninakuomba kuangamiza ndani yangu/ dhambi zote pamoja na majeraha yake/ na usikubali kunitenga nawe milele./ Amina.

(Na Mt. Margareta Maria Alakoki)

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Mallya (Guest) on February 26, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Chris Okello (Guest) on February 25, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Nora Kidata (Guest) on February 19, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Hamida (Guest) on February 7, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Nora Lowassa (Guest) on February 4, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Elizabeth Mtei (Guest) on December 9, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

David Sokoine (Guest) on November 13, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Bernard Oduor (Guest) on September 6, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Agnes Sumaye (Guest) on August 16, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Andrew Odhiambo (Guest) on July 24, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Francis Mrope (Guest) on June 6, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Chris Okello (Guest) on April 20, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Lucy Kimotho (Guest) on January 30, 2016

Endelea kuwa na imani!

Jackson Makori (Guest) on January 26, 2016

Sifa kwa Bwana!

Sarah Karani (Guest) on January 25, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Fredrick Mutiso (Guest) on January 20, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Catherine Mkumbo (Guest) on January 19, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Edward Chepkoech (Guest) on September 23, 2015

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Joseph Kawawa (Guest) on August 1, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Sarah Karani (Guest) on June 24, 2015

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Ann Awino (Guest) on June 12, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Victor Kamau (Guest) on June 7, 2015

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Samson Tibaijuka (Guest) on May 14, 2015

Amina

Related Posts

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About