Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Featured Image

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ya ubavu wake Kristo yanioshe
Mateso ya Kristo nguvu yanizidishie
Ee Yesu mwema unisikilize
Katika madonda yako unifiche
Usikubali nitengwe nawe
Na adui mwovu unikinge
Saa ya kufa kwangu uniite
Uniamuru kwako nije
Na watakatifu wako nikutukuze
Milele na milele.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Malima (Guest) on March 27, 2018

Nakuombea πŸ™

James Malima (Guest) on November 14, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Frank Macha (Guest) on October 23, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Patrick Akech (Guest) on August 21, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Peter Mwambui (Guest) on August 17, 2017

Endelea kuwa na imani!

Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

George Mallya (Guest) on June 8, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Peter Tibaijuka (Guest) on May 10, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Victor Mwalimu (Guest) on April 28, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Nora Lowassa (Guest) on April 3, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Mary Sokoine (Guest) on February 28, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Robert Ndunguru (Guest) on January 17, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Edith Cherotich (Guest) on January 7, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Michael Onyango (Guest) on December 12, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Nancy Kabura (Guest) on November 12, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Ruth Wanjiku (Guest) on November 4, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Edward Lowassa (Guest) on November 4, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Peter Mwambui (Guest) on September 28, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Joseph Kiwanga (Guest) on September 14, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

David Kawawa (Guest) on August 31, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Agnes Njeri (Guest) on August 23, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Grace Mligo (Guest) on June 15, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Grace Mligo (Guest) on November 7, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Agnes Sumaye (Guest) on October 4, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Janet Mbithe (Guest) on September 16, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Related Posts

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About