Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Featured Image

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

β€œEe Yesu tupe moyo wako kama amana ya upendo wako na kimbilio letu, ili tupate pumziko salama wakati wa maisha yetu na faraja tamu saa ya kufa kwetu”.
Baba Yetu ……..
Salamu Maria ……. (mara tatu)
Nasadiki ………..

Kwenye chembe kubwa Sali (Badala ya β€˜Baba Yetu’):

β€œNinakuabudu, ninakutukuza na ninakupenda, Ee Moyo wa Yesu wangu mpenzi, uliopenywa na huzuni nyingi kwa ajili ya dhambi, ambazo zimekuwa zikitendwa hata leo, dhidi ya Sakramenti Takatifu sana ya Altare. Ninakutolea hapo kwa kuridhika, moyo wa Mama yako mpendevu, na mastahili ya watakatifu. Amina”.

Kwenye chembe ndogo sali (Badala ya β€˜Salamu Maria’):

β€œEe Moyo Mtakatifu wa Yesu, uwakao mapendo kwetu, washa nyoyo zetu kwa mapendo yako"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Sumaye (Guest) on March 23, 2018

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Paul Kamau (Guest) on February 20, 2018

Neema ya Mungu inatosha kwako

Violet Mumo (Guest) on December 12, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Robert Okello (Guest) on September 14, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

George Wanjala (Guest) on August 31, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Nora Kidata (Guest) on July 17, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Elizabeth Malima (Guest) on June 23, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Daniel Obura (Guest) on June 21, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

George Ndungu (Guest) on June 20, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Ruth Kibona (Guest) on May 27, 2017

Dumu katika Bwana.

Bernard Oduor (Guest) on January 29, 2017

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Edward Lowassa (Guest) on January 20, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Alex Nyamweya (Guest) on November 29, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Ann Awino (Guest) on October 14, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Peter Mwambui (Guest) on July 24, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Margaret Anyango (Guest) on July 18, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

George Mallya (Guest) on May 28, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Majaliwa (Guest) on May 3, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Lydia Mahiga (Guest) on March 21, 2016

Rehema hushinda hukumu

Diana Mumbua (Guest) on March 9, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Catherine Mkumbo (Guest) on March 7, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Janet Sumari (Guest) on February 16, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

James Malima (Guest) on January 9, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

James Kimani (Guest) on October 25, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

John Kamande (Guest) on July 14, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

David Musyoka (Guest) on June 14, 2015

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Henry Sokoine (Guest) on June 13, 2015

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Related Posts

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About