Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Featured Image

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakubana na hukuwa unajua choo kilipo, ukatoka nje na kujisaidia kwenye majani kumbe ni mboga asubuhi ukasikia mama mkwe anasema kuna mjinga kajisaidia kwenye mboga na kaangusha pochi yake hapohapo haa! Vile unajisachi pochi hamna na kulikuwa na passport,vitambulisho, kadi ya benki, pesa zaidi ya laki 2 na nusu, funguo za nyumba yako, `
πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’

Walahi haya ndo matatizoπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Michael Mboya (Guest) on February 16, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Binti (Guest) on February 4, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Monica Adhiambo (Guest) on January 18, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on January 11, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Mwalimu (Guest) on December 6, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Sofia (Guest) on December 6, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Hekima (Guest) on December 4, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Moses Kipkemboi (Guest) on October 6, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwanakhamis (Guest) on September 28, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Joseph Kiwanga (Guest) on September 4, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nahida (Guest) on August 6, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Tambwe (Guest) on July 27, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on July 25, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on July 24, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

John Mushi (Guest) on July 20, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Chris Okello (Guest) on May 21, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on April 29, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on April 26, 2021

😊🀣πŸ”₯

Mary Sokoine (Guest) on April 23, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Sumari (Guest) on March 29, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Sarah Karani (Guest) on March 22, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanaidi (Guest) on March 20, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Lydia Mahiga (Guest) on March 10, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Joseph Kawawa (Guest) on March 4, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on February 17, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Hashim (Guest) on February 9, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Victor Malima (Guest) on February 2, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Nancy Komba (Guest) on January 26, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Robert Okello (Guest) on January 21, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Nkya (Guest) on January 14, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jane Muthui (Guest) on January 14, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 9, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on January 5, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on December 2, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on November 27, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nancy Akumu (Guest) on November 2, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Martin Otieno (Guest) on October 2, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Sharifa (Guest) on September 29, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on September 26, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Issa (Guest) on September 15, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Benjamin Kibicho (Guest) on September 4, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on August 26, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 17, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on July 19, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on July 13, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Binti (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nancy Kabura (Guest) on May 29, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Joseph Njoroge (Guest) on May 22, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Catherine Mkumbo (Guest) on May 8, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Henry Sokoine (Guest) on April 17, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Kenneth Murithi (Guest) on March 26, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Kamau (Guest) on February 14, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Janet Mwikali (Guest) on February 11, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

John Kamande (Guest) on February 5, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on January 22, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Daudi (Guest) on January 11, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Nancy Kabura (Guest) on December 23, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

James Malima (Guest) on December 19, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

James Kawawa (Guest) on November 27, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on November 21, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More