Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:ย Roysambu ni ngapi?
Makanga:ย Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:ย Hii gari haina watu bana.
Makanga:ย Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ngโ€™ombe?

Man:ย Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:ย Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:ย Excuse me condaโ€ฆgari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:ย Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:ย Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:ย Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:ย Ruaka ni how much?
Makanga:ย Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:ย Shukisha dere.
Makanga:ย Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:ย Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:ย Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Charles Mchome (Guest) on March 8, 2022

๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Warda (Guest) on March 2, 2022

๐Ÿ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ramadhan (Guest) on February 12, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineโ€”kichekesho! ๐Ÿคฃ

Samuel Omondi (Guest) on January 19, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! ๐Ÿ˜…

Michael Mboya (Guest) on January 9, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on January 6, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Zulekha (Guest) on November 7, 2021

๐Ÿ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on September 16, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜†

Irene Akoth (Guest) on September 3, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

David Kawawa (Guest) on August 30, 2021

๐Ÿคฃ Sikutarajia hiyo!

Betty Akinyi (Guest) on August 28, 2021

๐Ÿ˜… Nilihitaji hii!

Tambwe (Guest) on August 15, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! ๐Ÿ“Œ

Hashim (Guest) on August 1, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! ๐Ÿ˜„

Kheri (Guest) on July 27, 2021

๐Ÿ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Rose Mwinuka (Guest) on July 25, 2021

๐Ÿคฃ Hiyo twist mwishoni, ingawa!

James Malima (Guest) on July 15, 2021

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Sarah Karani (Guest) on June 27, 2021

Hii ni bomba sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘

Richard Mulwa (Guest) on June 21, 2021

๐Ÿ˜† Kali sana!

David Nyerere (Guest) on June 6, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! ๐Ÿ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on May 30, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š

Chris Okello (Guest) on May 23, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on April 17, 2021

๐Ÿ˜† Nacheka hadi chini!

Kijakazi (Guest) on March 17, 2021

๐Ÿ˜† Bado nacheka!

Ann Wambui (Guest) on March 8, 2021

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Selemani (Guest) on March 8, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! ๐ŸŽ‰

Janet Mbithe (Guest) on January 23, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š

Peter Otieno (Guest) on January 22, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! ๐Ÿ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on January 14, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Mariam Hassan (Guest) on January 8, 2021

๐Ÿ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Akinyi (Guest) on December 28, 2020

๐Ÿ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

John Kamande (Guest) on December 20, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! ๐Ÿ˜„

Jaffar (Guest) on December 11, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! ๐Ÿ˜‚

Omari (Guest) on December 11, 2020

๐Ÿ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Lissu (Guest) on December 5, 2020

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on December 3, 2020

๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ

Victor Sokoine (Guest) on November 17, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! ๐Ÿ˜†

Amani (Guest) on October 31, 2020

๐Ÿ˜ Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Betty Cheruiyot (Guest) on October 7, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Rose Waithera (Guest) on September 17, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ

Irene Makena (Guest) on August 21, 2020

๐Ÿ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Josephine (Guest) on July 31, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! ๐Ÿคฃ

Lydia Wanyama (Guest) on July 10, 2020

Hii ni joke ya maana sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Faith Kariuki (Guest) on June 30, 2020

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Bakari (Guest) on May 15, 2020

๐Ÿ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Maulid (Guest) on May 6, 2020

๐Ÿ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nancy Akumu (Guest) on May 5, 2020

Hii imenichekesha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Violet Mumo (Guest) on May 3, 2020

๐Ÿ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joseph Kawawa (Guest) on April 21, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! ๐Ÿค”๐Ÿ˜†

Frank Macha (Guest) on March 15, 2020

๐Ÿคฃ Ujuzi wa hali ya juu!

Mary Mrope (Guest) on February 21, 2020

๐Ÿคฃ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on February 19, 2020

Nimecheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Paul Ndomba (Guest) on February 11, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! ๐Ÿคฃ

Janet Mbithe (Guest) on February 9, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! ๐Ÿ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on December 28, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…

Janet Wambura (Guest) on December 23, 2019

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on December 15, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! ๐Ÿ†

Chiku (Guest) on November 22, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! ๐Ÿ˜œ

Betty Kimaro (Guest) on November 19, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜†

James Kimani (Guest) on November 15, 2019

Napenda jokes zenu! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on November 5, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Related Posts

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. Akanijibuย Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

MVULANA:ย Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About