Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Featured Image

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Smart phone), kukawa na jamaa kasimama pembeni yangu, ye hakupata seat. Sasa akawa anasoma message zangu bila aibu yani anafutilia ninavyochati…

Basi nikasema ngoja nimtie Adabu mshenzi huyu…. Nikacheck saa yangu yamkononi kisha nikatext:Β "Oya Ben Kwaheri bwana, zimebaki sekunde 30 tu hili bomuπŸ’£ lilipuke… najua hatutaonana tena, nitunzie Familia yangu, wambie nawapenda sana…"Β Yule jamaa akajirusha dirishaniβ€¦β€¦πŸ˜‚πŸ˜…

​kwani mi napenda ujinga xx πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Samson Tibaijuka (Guest) on March 12, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on February 27, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Malecela (Guest) on January 21, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Andrew Mahiga (Guest) on December 25, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on December 16, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Philip Nyaga (Guest) on November 15, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Sumari (Guest) on October 20, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on September 23, 2021

🀣πŸ”₯😊

Rose Lowassa (Guest) on September 22, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Frank Macha (Guest) on September 8, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on August 29, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on August 28, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on August 21, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on August 12, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on July 19, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Patrick Akech (Guest) on July 11, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on July 4, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on June 18, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on June 15, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Warda (Guest) on June 13, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Arifa (Guest) on June 13, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on May 30, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Stephen Malecela (Guest) on May 28, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joseph Kitine (Guest) on April 21, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Anna Mchome (Guest) on March 21, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on March 19, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

David Chacha (Guest) on March 19, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on March 15, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

David Sokoine (Guest) on March 13, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Edwin Ndambuki (Guest) on March 2, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on February 17, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Wairimu (Guest) on February 8, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on February 3, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on January 1, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on December 17, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Khalifa (Guest) on December 16, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Faith Kariuki (Guest) on November 19, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Malecela (Guest) on November 17, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on November 12, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on October 15, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Sokoine (Guest) on September 24, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on September 18, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on September 16, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Jamila (Guest) on August 20, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on August 7, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Edward Chepkoech (Guest) on July 19, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Kevin Maina (Guest) on June 19, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Kidata (Guest) on June 10, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Kheri (Guest) on June 4, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Lucy Mushi (Guest) on May 22, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sofia (Guest) on May 20, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Esther Nyambura (Guest) on May 19, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Catherine Naliaka (Guest) on April 21, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Kheri (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Fredrick Mutiso (Guest) on December 21, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on November 13, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Salima (Guest) on November 2, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Zuhura (Guest) on November 2, 2019

Asante Ackyshine

Moses Mwita (Guest) on October 18, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About