Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Featured Image

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile Sh 600 iliyobaki na kwenda Dukani Kumnunulia Soda Unaondoka na Chupa Mbili Unanunua Fanta Moja kwaajil ya Mgeni na Ile Chupa ya Sprite Unaijaza Maji ili Ukirudi Uweze kumpa Kampani Mgeni……Unafika Seblen Unampa Ile soda ya Fanta Mgeni anakuambia Fanta huwa situmii Nipe hiyo sprite …..Bwana….Bwana. …Bwana….Weee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Tambwe (Guest) on February 13, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

James Kimani (Guest) on December 30, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Esther Nyambura (Guest) on December 15, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kijakazi (Guest) on December 8, 2021

Asante Ackyshine

Joseph Mallya (Guest) on December 1, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Jafari (Guest) on November 18, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Michael Onyango (Guest) on November 13, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on October 31, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Umi (Guest) on October 28, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nancy Akumu (Guest) on September 24, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Nancy Kabura (Guest) on September 18, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on September 1, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on August 21, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on August 14, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Nora Lowassa (Guest) on July 23, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on June 7, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on May 26, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwagonda (Guest) on April 24, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

James Mduma (Guest) on April 19, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on April 8, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Grace Wairimu (Guest) on March 29, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ruth Kibona (Guest) on March 23, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Lydia Mahiga (Guest) on March 17, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Tabitha Okumu (Guest) on February 22, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on January 24, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on January 12, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Joyce Aoko (Guest) on December 29, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on December 5, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Irene Makena (Guest) on November 21, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hellen Nduta (Guest) on November 16, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Sharifa (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Samson Mahiga (Guest) on October 10, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on October 6, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on September 8, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on August 31, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Alice Jebet (Guest) on August 6, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Abdillah (Guest) on July 17, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Elizabeth Mtei (Guest) on July 10, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on July 3, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Philip Nyaga (Guest) on June 22, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on June 16, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on April 19, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on April 4, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Moses Kipkemboi (Guest) on February 14, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on January 23, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on January 20, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Janet Wambura (Guest) on January 13, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on January 5, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

George Wanjala (Guest) on January 2, 2020

🀣πŸ”₯😊

Anna Sumari (Guest) on January 2, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Charles Mchome (Guest) on December 28, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on December 25, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Charles Mrope (Guest) on December 1, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on November 3, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Jafari (Guest) on September 13, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Peter Mugendi (Guest) on August 20, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Nancy Kabura (Guest) on August 14, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Wanjala (Guest) on August 8, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Peter Mwambui (Guest) on July 29, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on July 25, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Related Posts

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About