Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Featured Image

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari mlinzi,anaondoka.Hilo jambo likamkera sana askari mlinzi, askari akawa na mvizia yule mzee wa kichaga ,siku alipokuja tena akamkamata, akamuuliza kwa nini unakuja unapiga honi kisha unakimbia? Mzee akasema: Haki ya mungu babaangu , Nina pesa zangu ktk account hapa bank naogopa usilale usingizi ndo maana kila siku usiku napita kukuangalia kama umelala!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Diana Mumbua (Guest) on February 16, 2022

🀣πŸ”₯😊

Philip Nyaga (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on February 7, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Amani (Guest) on January 23, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Rose Mwinuka (Guest) on January 2, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on January 1, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on December 31, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on December 15, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on November 28, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Irene Akoth (Guest) on November 26, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on November 19, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

David Chacha (Guest) on November 5, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on October 30, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joy Wacera (Guest) on September 25, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Hellen Nduta (Guest) on September 12, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 18, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on August 5, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 13, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

James Kimani (Guest) on July 5, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ahmed (Guest) on July 1, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Lissu (Guest) on June 24, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Khadija (Guest) on June 10, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Stephen Mushi (Guest) on June 2, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on May 25, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on May 6, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Raha (Guest) on April 26, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Sarah Karani (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Ruth Wanjiku (Guest) on April 19, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Mariam Kawawa (Guest) on April 14, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on April 4, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

James Mduma (Guest) on April 3, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on March 20, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on March 19, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on March 6, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanaisha (Guest) on February 16, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Samuel Omondi (Guest) on February 10, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Mwikali (Guest) on January 27, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Omar (Guest) on January 20, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Monica Nyalandu (Guest) on December 31, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on December 12, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on November 28, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mustafa (Guest) on October 27, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joseph Mallya (Guest) on September 11, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on September 4, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

John Kamande (Guest) on August 30, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Mkumbo (Guest) on August 22, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on July 22, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on July 4, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on June 22, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mwagonda (Guest) on June 9, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 12, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

John Mwangi (Guest) on April 27, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Nasra (Guest) on April 9, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on April 9, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on April 7, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Edwin Ndambuki (Guest) on April 1, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on March 26, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on March 21, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

James Kawawa (Guest) on March 13, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on January 4, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Related Posts

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About