Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.
Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!
Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsAppโฆ!
_Hello Mamu, Nakupigia simu sio kukudai pesa zangu, ila nataka kukwambia kuwa hapa Ubungo Plaza kuna wadada wawili walikuwa wanapigana kumgombea Mumeo (Baba Nang'oto). Ilikuwa vuta nikuvute na mumeo alikuwa kasimama tu anawaangalia akitabasamu. Baada ugomvi kwisha akaondoka na mmoja wao na kumwacha yule mwingine akitukana matusi kama ana akili nzuri._
โ
_*Kisha nikaituma ile message*_
Baada ya dakika kama mbili hivi, akanipigia simu nami wala sikupokea simu yakeโฆ Akapiga tena na tena kama mara ishirini hivi wala sikupokea.
*Akatuma message akiniulizaโฆ*
_Hao wanawake unawajuwa, โฆmume wangu na huyo mwanamke wameelekea wapi, wewe unawajuwa hao wanawake waliopigana, yaani hapa nimechanganyikiwa kwa kweliโฆ!_
Nikaisoma message yake wala sikuijibu, nikamchunia kimyaaaโฆ!
Akanipigia tena simu mara tano, sikupokea simu zake, kimyaaaโฆ! Akaniandikia message nyingineโฆ.
*โฆNakupigia jamani pokea simu basi nina pesa zako nataka nikupeโฆ Naomba basi tukutane mjini unihadithie vizuriโฆ!*
Nami nikamjibuโฆ
_Nitumie hizo pesa kwenye Namba yangu ya Mpesa, ili nipitie sheli kujaza mafuta nije mjini kukupitia nikupeleke mahala walipoโฆ!_
Baada ya dakika 2 message ikaingia, kuangalia balance yangu ya Mpesa, nikakuta kaingiza pesa zangu zote ninazo mdaiโฆ!
Nikazima simu nikajilalia zangu kimyaaaโฆ. Kama sio mie!
Victor Malima (Guest) on October 19, 2021
Hizi jokes ni za ukweli! ๐๐
Monica Lissu (Guest) on October 5, 2021
๐ Hii ni kali sana!
Baridi (Guest) on October 3, 2021
๐คฃ Ninashiriki hii sasa hivi!
Tabitha Okumu (Guest) on September 24, 2021
Mna kipaji cha ucheshi! ๐๐
Nancy Kabura (Guest) on September 13, 2021
๐ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Ramadhan (Guest) on September 1, 2021
Nimependa hii! Endelea kuzileta! ๐
Grace Njuguna (Guest) on August 27, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐๐
Sarah Achieng (Guest) on August 2, 2021
Hii imenipa furaha ya siku! ๐๐
Leila (Guest) on July 9, 2021
๐ Umeimaliza kabisa!
Edward Chepkoech (Guest) on May 26, 2021
Umetisha! ๐๐
Husna (Guest) on May 24, 2021
๐ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Alice Wanjiru (Guest) on May 20, 2021
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ๐๐คฃ
Philip Nyaga (Guest) on May 16, 2021
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! ๐
Lucy Mahiga (Guest) on May 12, 2021
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! ๐คฃ
Patrick Akech (Guest) on May 7, 2021
Kweli mnajua kuchekesha watu! ๐คฃ๐
Grace Mushi (Guest) on April 26, 2021
๐ Nalia kwa kweli hapa!
Lucy Mushi (Guest) on April 4, 2021
๐คฃ๐๐
Mary Mrope (Guest) on March 24, 2021
Nimecheka hadi machozi yanatoka! ๐คฃ๐ญ
Agnes Njeri (Guest) on March 22, 2021
Nimecheka hadi machozi yanatoka! ๐คฃ๐ญ
Grace Minja (Guest) on February 18, 2021
Hii imenibamba sana! ๐๐
Mazrui (Guest) on February 2, 2021
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! ๐
David Chacha (Guest) on January 27, 2021
Asante Ackyshine
David Sokoine (Guest) on January 20, 2021
Kweli ni jokes za ukweli! ๐๐
Diana Mumbua (Guest) on January 16, 2021
Hii ni kali sana! ๐๐คฃ
Agnes Njeri (Guest) on December 11, 2020
Napenda jinsi mnavyofikiria! ๐ค๐
Peter Mwambui (Guest) on December 6, 2020
Napenda jokes zenu! ๐๐
David Musyoka (Guest) on November 19, 2020
Hii imenikuna! ๐๐
Yusra (Guest) on November 7, 2020
๐ Kali sana!
Leila (Guest) on October 25, 2020
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! ๐
Martin Otieno (Guest) on October 17, 2020
๐ Umeshinda mtandao leo!
Stephen Kangethe (Guest) on October 10, 2020
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! ๐
Elizabeth Malima (Guest) on September 25, 2020
Hii imenikumbusha enzi zile! ๐ ๐
Grace Minja (Guest) on September 10, 2020
๐คฃ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Henry Sokoine (Guest) on September 9, 2020
Hii imenifurahisha sana! ๐๐
Victor Mwalimu (Guest) on September 6, 2020
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ๐๐
Janet Sumaye (Guest) on September 3, 2020
Hii imenipa kicheko cha siku! ๐๐คฃ
Violet Mumo (Guest) on August 18, 2020
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ๐๐คฃ
Samuel Omondi (Guest) on August 13, 2020
๐ ๐๐๐
Janet Mwikali (Guest) on July 30, 2020
๐๐คฃ
Nicholas Wanjohi (Guest) on July 29, 2020
Hii imenifurahisha sana! ๐๐
Ali (Guest) on June 22, 2020
๐ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Kheri (Guest) on June 14, 2020
๐ Nacheka hadi nalia!
Esther Cheruiyot (Guest) on June 11, 2020
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐๐คฃ
Michael Onyango (Guest) on June 1, 2020
๐คฃ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Alice Mwikali (Guest) on May 24, 2020
๐ Hiyo punchline ilikuwa kali!
Lydia Wanyama (Guest) on May 21, 2020
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! ๐
Samson Tibaijuka (Guest) on May 15, 2020
๐ Hiyo punchline!
Victor Kimario (Guest) on May 12, 2020
Hii ni joke ya kipekee sana! ๐๐
Frank Sokoine (Guest) on April 19, 2020
๐ Kali sana!
Diana Mallya (Guest) on April 12, 2020
Nimecheka hadi nimesahau shida! ๐คฃ๐
Henry Sokoine (Guest) on April 12, 2020
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ๐๐คฃ
Grace Mushi (Guest) on April 11, 2020
๐๐๐ ๐คฃ
Peter Mugendi (Guest) on April 7, 2020
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ๐๐
Simon Kiprono (Guest) on April 6, 2020
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ๐๐
Paul Ndomba (Guest) on March 10, 2020
Hii imenipa kicheko cha siku! ๐๐คฃ
Linda Karimi (Guest) on February 22, 2020
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! ๐
Moses Kipkemboi (Guest) on January 16, 2020
Hii joke ni ya kufurahisha! ๐คฃ๐คฃ
Maimuna (Guest) on January 9, 2020
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! ๐
Patrick Mutua (Guest) on January 5, 2020
๐ Bado nacheka!
Peter Mbise (Guest) on December 11, 2019
Hii ni ya kufurahisha sana! ๐๐