Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Mjini shule. Soma hii

Featured Image

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!

Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsAppโ€ฆ!

_Hello Mamu, Nakupigia simu sio kukudai pesa zangu, ila nataka kukwambia kuwa hapa Ubungo Plaza kuna wadada wawili walikuwa wanapigana kumgombea Mumeo (Baba Nang'oto). Ilikuwa vuta nikuvute na mumeo alikuwa kasimama tu anawaangalia akitabasamu. Baada ugomvi kwisha akaondoka na mmoja wao na kumwacha yule mwingine akitukana matusi kama ana akili nzuri._

โ€”
_*Kisha nikaituma ile message*_

Baada ya dakika kama mbili hivi, akanipigia simu nami wala sikupokea simu yakeโ€ฆ Akapiga tena na tena kama mara ishirini hivi wala sikupokea.

*Akatuma message akiniulizaโ€ฆ*

_Hao wanawake unawajuwa, โ€ฆmume wangu na huyo mwanamke wameelekea wapi, wewe unawajuwa hao wanawake waliopigana, yaani hapa nimechanganyikiwa kwa kweliโ€ฆ!_

Nikaisoma message yake wala sikuijibu, nikamchunia kimyaaaโ€ฆ!

Akanipigia tena simu mara tano, sikupokea simu zake, kimyaaaโ€ฆ! Akaniandikia message nyingineโ€ฆ.

*โ€ฆNakupigia jamani pokea simu basi nina pesa zako nataka nikupeโ€ฆ Naomba basi tukutane mjini unihadithie vizuriโ€ฆ!*

Nami nikamjibuโ€ฆ

_Nitumie hizo pesa kwenye Namba yangu ya Mpesa, ili nipitie sheli kujaza mafuta nije mjini kukupitia nikupeleke mahala walipoโ€ฆ!_

Baada ya dakika 2 message ikaingia, kuangalia balance yangu ya Mpesa, nikakuta kaingiza pesa zangu zote ninazo mdaiโ€ฆ!

Nikazima simu nikajilalia zangu kimyaaaโ€ฆ. Kama sio mie!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Malima (Guest) on October 19, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘

Monica Lissu (Guest) on October 5, 2021

๐Ÿ˜‚ Hii ni kali sana!

Baridi (Guest) on October 3, 2021

๐Ÿคฃ Ninashiriki hii sasa hivi!

Tabitha Okumu (Guest) on September 24, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on September 13, 2021

๐Ÿ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Ramadhan (Guest) on September 1, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! ๐Ÿ˜

Grace Njuguna (Guest) on August 27, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on August 2, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Leila (Guest) on July 9, 2021

๐Ÿ˜„ Umeimaliza kabisa!

Edward Chepkoech (Guest) on May 26, 2021

Umetisha! ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜‚

Husna (Guest) on May 24, 2021

๐Ÿ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Alice Wanjiru (Guest) on May 20, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Philip Nyaga (Guest) on May 16, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! ๐Ÿ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on May 12, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! ๐Ÿคฃ

Patrick Akech (Guest) on May 7, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Grace Mushi (Guest) on April 26, 2021

๐Ÿ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Mushi (Guest) on April 4, 2021

๐Ÿคฃ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜Š

Mary Mrope (Guest) on March 24, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ

Agnes Njeri (Guest) on March 22, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ

Grace Minja (Guest) on February 18, 2021

Hii imenibamba sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Mazrui (Guest) on February 2, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! ๐Ÿ˜†

David Chacha (Guest) on January 27, 2021

Asante Ackyshine

David Sokoine (Guest) on January 20, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Diana Mumbua (Guest) on January 16, 2021

Hii ni kali sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Agnes Njeri (Guest) on December 11, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! ๐Ÿค”๐Ÿ˜†

Peter Mwambui (Guest) on December 6, 2020

Napenda jokes zenu! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

David Musyoka (Guest) on November 19, 2020

Hii imenikuna! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š

Yusra (Guest) on November 7, 2020

๐Ÿ˜† Kali sana!

Leila (Guest) on October 25, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! ๐Ÿ˜œ

Martin Otieno (Guest) on October 17, 2020

๐Ÿ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Kangethe (Guest) on October 10, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! ๐Ÿ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on September 25, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚

Grace Minja (Guest) on September 10, 2020

๐Ÿคฃ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Henry Sokoine (Guest) on September 9, 2020

Hii imenifurahisha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on September 6, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on September 3, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Violet Mumo (Guest) on August 18, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

Samuel Omondi (Guest) on August 13, 2020

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Janet Mwikali (Guest) on July 30, 2020

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 29, 2020

Hii imenifurahisha sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ali (Guest) on June 22, 2020

๐Ÿ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Kheri (Guest) on June 14, 2020

๐Ÿ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Esther Cheruiyot (Guest) on June 11, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Michael Onyango (Guest) on June 1, 2020

๐Ÿคฃ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Alice Mwikali (Guest) on May 24, 2020

๐Ÿ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Lydia Wanyama (Guest) on May 21, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! ๐ŸŽ‰

Samson Tibaijuka (Guest) on May 15, 2020

๐Ÿ˜† Hiyo punchline!

Victor Kimario (Guest) on May 12, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ‘

Frank Sokoine (Guest) on April 19, 2020

๐Ÿ˜„ Kali sana!

Diana Mallya (Guest) on April 12, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Henry Sokoine (Guest) on April 12, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Grace Mushi (Guest) on April 11, 2020

๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ

Peter Mugendi (Guest) on April 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Simon Kiprono (Guest) on April 6, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘

Paul Ndomba (Guest) on March 10, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Linda Karimi (Guest) on February 22, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! ๐Ÿ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on January 16, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Maimuna (Guest) on January 9, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! ๐Ÿ˜†

Patrick Mutua (Guest) on January 5, 2020

๐Ÿ˜… Bado nacheka!

Peter Mbise (Guest) on December 11, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜„

Related Posts

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuuโ€ฆ..
Interviewer: where were ... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begi๐Ÿ˜‚๐... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:ย baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:ย angalia itak... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFRENDยปยปhellow sweetheart

BOYFRENDยปยปhellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDยป... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About