Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Unakumbuka haya enzi za shule?

Featured Image

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani
2.unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af unamuunguza mwenzio
3.mkiruhusiwa tu unakimbia unataka uwe wa kwanza kwenye njia yenu y kurudia nyumban
4.MTU akikukera unamfungia shule (mnapigana baada ya kufunga shule)
5.MTU akikunyima kitu chake unamwambia "Ahaa eeh utaona sa nne"
6.wadada wembamba ndo wanaongoza kwa kusuta wenzao
7.ukiibiwa daftar jipya unalia kuliko hata uliloandika
8.unajaza mapeni kwenye mkebe(compass) na mengine hayaandiki
9.vifaa vingine kwenye mkebe hujawahi hata kuvitumia mfano bikari labda utolee mwibaπŸ˜‚
10.hakuna habari nzur kama kuambiwa Leo hamna shule mwalim haupo
11.habari mbaya zaidi n kurud nyumban kutoka shule una njaa af unaambiwa chakula mgeni kaja tumempa
12.mtoto wa mwalim utamgundua tu kwanzia sweta begi na viatu vyake
13.usiombee umpige mtoto wa mwalim utataman uache shule
14.unatengeneza kifutio cha ndala af unatishia eti kinafuta hadi peniπŸ˜‚
15.ukaguzi na huna ufagio.. unaomba chelewa kwa watu af unaongeza kijiti katikati
16.siku ukienda na ufagio wanakagua maji, ukienda na naji wanakagua kuni au mboleaπŸ˜†
πŸ˜‚
Dah shule zetu hizi kiboko!!

Ipi umeipitia wewe
Share na wengine

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Hekima (Guest) on March 10, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on February 23, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Janet Sumari (Guest) on February 23, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on February 14, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Jane Muthui (Guest) on December 13, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on November 16, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Rose Mwinuka (Guest) on November 5, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alice Mrema (Guest) on October 3, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on September 19, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 15, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on September 9, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on September 4, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Alex Nakitare (Guest) on August 30, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on August 6, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on July 9, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Chris Okello (Guest) on June 29, 2021

🀣πŸ”₯😊

Catherine Naliaka (Guest) on June 23, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

James Kimani (Guest) on June 3, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on May 29, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on May 13, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Chris Okello (Guest) on May 10, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on May 10, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Janet Wambura (Guest) on May 2, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

James Mduma (Guest) on April 12, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 19, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Irene Makena (Guest) on March 19, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on March 12, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on February 1, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Joseph Mallya (Guest) on January 27, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

John Mushi (Guest) on January 27, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Mwinuka (Guest) on January 3, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Chris Okello (Guest) on December 28, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on December 23, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on December 5, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on December 5, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Janet Sumaye (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on October 27, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ann Wambui (Guest) on October 21, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Muslima (Guest) on October 18, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on September 27, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on September 2, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mwachumu (Guest) on August 17, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Peter Mwambui (Guest) on July 15, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on July 10, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Rose Waithera (Guest) on June 15, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nchi (Guest) on June 7, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Stephen Malecela (Guest) on April 27, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Biashara (Guest) on April 23, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Andrew Odhiambo (Guest) on April 13, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on March 18, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Nkya (Guest) on March 18, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Edward Lowassa (Guest) on February 18, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Hawa (Guest) on December 15, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Janet Sumari (Guest) on December 15, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mwanaisha (Guest) on December 6, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on November 29, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Fikiri (Guest) on November 24, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on November 20, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Chiku (Guest) on November 4, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Related Posts

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About