Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Featured Image

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyumbani.

kwa furaha waliopata wazazi, mama aliamua
kurosti kuku WAWILI(2) kwa ajili yao.
Mezani jamaa akataka kuwadhihirishia kuwa yeye ni msomi,
akawaambia "hawa kuku unaona wako wawili ila kwa kutumia
sheria za arthematic na geometric kuna kuku watatu mezani"
mama"hee embu tuoneshe mwanangu"
jamaa akachukua kuku ya kwanza akainua juu "ngapi?"
wazazi"moja" akainua wa pili "ngapi?" wazazi "mbili"
akawarudisha akisema"wazee wangu nadhani japo shule
hamkwenda ila mnajua moja+mbili=tatu so tuna kuku watatu
mezani"
baba"mmh kweli mwanangu umesoma. SASA TUFANYE IVI
MIMI NACHUKUA KUKU MOJA NA MAMA YAKO WA PILI WE
UTAKULA UYO WA TATU ULIYOSEMA"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nancy Kawawa (Guest) on March 21, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on March 3, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on February 19, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on December 19, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Maulid (Guest) on December 19, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Wande (Guest) on November 28, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mary Kidata (Guest) on November 10, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Janet Wambura (Guest) on October 31, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Nashon (Guest) on October 21, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Catherine Naliaka (Guest) on October 15, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on October 9, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Yahya (Guest) on September 19, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Benjamin Kibicho (Guest) on September 2, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Peter Mbise (Guest) on August 31, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on July 30, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on July 26, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Chum (Guest) on July 13, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on June 23, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Lydia Mahiga (Guest) on June 22, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on June 18, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on June 17, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alice Mrema (Guest) on April 12, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Hashim (Guest) on March 30, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Josephine Nduta (Guest) on March 24, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on February 9, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on January 16, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Anna Malela (Guest) on January 1, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Elijah Mutua (Guest) on December 24, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwanahawa (Guest) on December 15, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Henry Mollel (Guest) on December 13, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Catherine Naliaka (Guest) on December 9, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Isaac Kiptoo (Guest) on November 30, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Anna Mchome (Guest) on November 18, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nyamweya (Guest) on November 11, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Chacha (Guest) on October 21, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Sultan (Guest) on October 19, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Fatuma (Guest) on October 5, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Sharon Kibiru (Guest) on October 1, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on August 30, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Paul Kamau (Guest) on June 17, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on May 31, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Josephine Nduta (Guest) on May 30, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on May 24, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sharifa (Guest) on May 9, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Asha (Guest) on May 6, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Michael Onyango (Guest) on March 11, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Thomas Mtaki (Guest) on February 27, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on January 24, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Fatuma (Guest) on January 20, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on December 3, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Lydia Mahiga (Guest) on November 29, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on November 22, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on November 7, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on October 28, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on October 14, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Stephen Kangethe (Guest) on October 11, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Alex Nakitare (Guest) on September 9, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Raphael Okoth (Guest) on August 29, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Zawadi (Guest) on August 19, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Related Posts

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More