Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Featured Image

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18.

Wakati fundi anaendelea na kazi kumbe mmeo huyu dada alishafika. hakutaka kumjulisha mkeo, kwa nia nzuri tu ya kumfanyia suprise, kwani alikuja na mazaga zaga kibao. Hiyo aliingia kwa kunyatia hadi kwenye mlango wa chumbani kwao. Ghafla akasikia mazungumzo ya mkeo na fundi ndani. Mazungumzo yalikuwaje? fuatilia hapa chini

Mama X: Fanya haraka mme wangu amekaribia
Fundi: Nakaribia kumaliza, nisaidie kuchomeka vizuri upande wako (akikusudia chaga)
Mama X: Mbona haiingii
Fundi: Ingiza kwa upande upande
Mama X: Sukuma kwa nguvu
Fundi: Angalia usiumie
Mama X: Hamna shida imeingia

Wakati jamaa akiendelea kusikiliza mlangoni, fundi akaweza godoro juu ya kitanda na mama x akajitupa kitandani kujaribu kama kimetengamaa. mara chaga akachomoka na kuanguaka chini. Nini kilifuata

Mama x: Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiii(miguno) "my God, mbona hivi"
Fundi : Pole sana
Mama X: sasa?
Fundi: Ngoja nichomeke tena
Mama X: Yaan wewe, utaacha mme wangu afike hatujamaliza
Fundi: Usijali namaliza sasa hivi

Baada ya dakika chache, fundi akamuaga mama na kumwambia tayari, sasa naona umefurahi. Kutoka tu mlangoni akakutana uso kwa uso na jamaa amekunja ndita kama matuta ya viatu. Gues what happened?

Kitu gani kitatokea kisia toa maoni yako kama ni ww ungefanyaje?

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Athumani (Guest) on July 10, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Mallya (Guest) on June 24, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on June 12, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on June 9, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sarah Mbise (Guest) on May 28, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Mwambui (Guest) on May 27, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on May 13, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on May 1, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwanahawa (Guest) on April 30, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Victor Kamau (Guest) on April 26, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on April 26, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Monica Lissu (Guest) on April 17, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Athumani (Guest) on April 6, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

David Ochieng (Guest) on April 2, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mjaka (Guest) on March 27, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Mrope (Guest) on March 27, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Susan Wangari (Guest) on March 12, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on March 1, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Furaha (Guest) on February 12, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Kevin Maina (Guest) on February 11, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Bernard Oduor (Guest) on January 17, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

James Malima (Guest) on January 15, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on January 13, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Kijakazi (Guest) on January 3, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 1, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on December 12, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Abdillah (Guest) on December 9, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Ruth Mtangi (Guest) on December 2, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on November 25, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Baraka (Guest) on November 18, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jackson Makori (Guest) on October 24, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Rose Kiwanga (Guest) on October 9, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on August 24, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Agnes Njeri (Guest) on July 15, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Sokoine (Guest) on June 8, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on May 30, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Hashim (Guest) on May 10, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Josephine Nekesa (Guest) on March 18, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mohamed (Guest) on March 8, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

John Kamande (Guest) on March 2, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on February 22, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on February 8, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Stephen Kikwete (Guest) on February 2, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Njoroge (Guest) on December 29, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Nashon (Guest) on December 14, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Victor Kimario (Guest) on October 27, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Raphael Okoth (Guest) on October 17, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Philip Nyaga (Guest) on October 16, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on October 3, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Halimah (Guest) on September 15, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 3, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Shukuru (Guest) on August 27, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Alice Mrema (Guest) on August 14, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on July 31, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Anna Mahiga (Guest) on July 3, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on July 1, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on May 13, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Rose Lowassa (Guest) on March 7, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Elizabeth Mrope (Guest) on March 6, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Raphael Okoth (Guest) on February 22, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Related Posts

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About