Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Featured Image
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali", Wakapiga magoti…: MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake. MUME: Emen… MKE: Mpe nguvu katika yote atakayoyafanya huko. MUME: Emen… MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe. MUME: Kimya… MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya kwa uwezo wako bwana. MUME: …….!! MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko kwa mateso makali. MUME: Maombi gani sasa hayo!!?. Haya basi siendi semina ufurahi wewe. Chezea mawaifu walokole wewe!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Tibaijuka (Guest) on August 22, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mwanaidi (Guest) on August 13, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Christopher Oloo (Guest) on August 7, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Fikiri (Guest) on August 6, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

David Kawawa (Guest) on July 11, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Raphael Okoth (Guest) on July 5, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on June 13, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Edith Cherotich (Guest) on May 27, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Dorothy Nkya (Guest) on May 8, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

David Musyoka (Guest) on April 19, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Halimah (Guest) on April 15, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Violet Mumo (Guest) on March 11, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Mwikali (Guest) on February 13, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Charles Mchome (Guest) on January 22, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Janet Wambura (Guest) on January 15, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Jamal (Guest) on January 13, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on January 5, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on December 8, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on December 5, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on November 23, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on November 9, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on November 9, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Josephine Nekesa (Guest) on October 7, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on August 3, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on May 19, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

James Kimani (Guest) on May 11, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Kimario (Guest) on May 3, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

James Kawawa (Guest) on April 25, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Bakari (Guest) on April 18, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Stephen Kikwete (Guest) on April 16, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on April 7, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Mchome (Guest) on March 7, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Daniel Obura (Guest) on March 4, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on February 6, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Biashara (Guest) on January 16, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

David Ochieng (Guest) on January 15, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nora Kidata (Guest) on November 29, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on November 23, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on November 20, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Jane Malecela (Guest) on October 28, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on October 24, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Kawawa (Guest) on October 24, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lydia Mutheu (Guest) on August 17, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on August 8, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mgeni (Guest) on July 21, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 25, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on June 8, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

John Malisa (Guest) on June 4, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Mrope (Guest) on May 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on May 14, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Makame (Guest) on May 8, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Margaret Mahiga (Guest) on May 1, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Sokoine (Guest) on April 14, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Paul Ndomba (Guest) on April 14, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on March 15, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Khatib (Guest) on March 4, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Monica Lissu (Guest) on February 10, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on February 6, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About